Judges 12 (BOKCV)

1 Watu wa Efraimu wakaita majeshi yao, wakavuka kwenda Zafoni, wakamwambia Yefta, “Kwa nini mmekwenda kupigana na Waamoni bila kutuita ili twende pamoja nawe? Basi tutaichoma moto nyumba yako, pamoja nawe ukiwa ndani yake.” 2 Yefta akajibu, “Mimi na watu wangu tulikuwa na ugomvi mkubwa na Waamoni, hata ingawa niliwaita hamkuniokoa katika mkono wao. 3 Nilipoona kuwa hamkunipa msaada nikauhatarisha uhai wangu na nikavuka kupigana na Waamoni. Naye BWANA akanipatia ushindi dhidi yao. Sasa kwa nini mnanijia leo ili kupigana nami?” 4 Ndipo Yefta akakusanya watu wa Gileadi pamoja na kupigana na Efraimu. Wagileadi wakawashinda Efraimu, kwa kuwa Waefraimu walisema, “Ninyi Wagileadi ni watoro mliotoroka toka Efraimu na Manase.” 5 Wagileadi wakaviteka vivuko vya Yordani dhidi ya hao Waefraimu, kisha ilikuwa yeyote yule aliyenusurika katika Efraimu aliposema, “Niache nivuke,” hao watu wa Gileadi walimuuliza, “Je wewe ni Mwefraimu?” Kama alijibu “Hapana,” 6 walimwambia, “Sawa, sema ‘Shibolethi.’ ” Iwapo alitamka, “Sibolethi,” kwa sababu hakuweza kutamka hilo neno sawasawa, walimkamata na kumuua hapo kwenye vivuko vya Yordani. Waefraimu 42,000 waliuawa wakati huo. 7 Yefta akawa mwamuzi wa Waisraeli kwa muda wa miaka sita. Basi Yefta akafa, akazikwa katika mmojawapo wa miji ya Gileadi. 8 Baada yake, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi wa Israeli. 9 Alikuwa na wana thelathini na binti thelathini. Akawaoza binti zake kwa watu wengine nje ya ukoo wake, na kuwatwalia wanawe wanawake thelathini toka nje ya ukoo wake. Ibzani akawa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka saba. 10 Ibzani akafa, akazikwa huko Bethlehemu. 11 Baada yake Eloni, Mzabuloni, akawa mwamuzi wa Israeli, naye akawaamua kwa muda wa miaka kumi. 12 Kisha Eloni akafa, akazikwa katika Aiyaloni, katika nchi ya Zabuloni. 13 Baada yake, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli. 14 Naye akazaa wana arobaini na wana wa wanawe thelathini waliopanda punda sabini. Akawa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka minane. 15 Ndipo Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, naye akazikwa huko Pirathoni katika Efraimu, katika nchi ya vilima ya Waamaleki.

In Other Versions

Judges 12 in the ANGEFD

Judges 12 in the ANTPNG2D

Judges 12 in the AS21

Judges 12 in the BAGH

Judges 12 in the BBPNG

Judges 12 in the BBT1E

Judges 12 in the BDS

Judges 12 in the BEV

Judges 12 in the BHAD

Judges 12 in the BIB

Judges 12 in the BLPT

Judges 12 in the BNT

Judges 12 in the BNTABOOT

Judges 12 in the BNTLV

Judges 12 in the BOATCB

Judges 12 in the BOATCB2

Judges 12 in the BOBCV

Judges 12 in the BOCNT

Judges 12 in the BOECS

Judges 12 in the BOGWICC

Judges 12 in the BOHCB

Judges 12 in the BOHCV

Judges 12 in the BOHLNT

Judges 12 in the BOHNTLTAL

Judges 12 in the BOICB

Judges 12 in the BOILNTAP

Judges 12 in the BOITCV

Judges 12 in the BOKCV2

Judges 12 in the BOKHWOG

Judges 12 in the BOKSSV

Judges 12 in the BOLCB

Judges 12 in the BOLCB2

Judges 12 in the BOMCV

Judges 12 in the BONAV

Judges 12 in the BONCB

Judges 12 in the BONLT

Judges 12 in the BONUT2

Judges 12 in the BOPLNT

Judges 12 in the BOSCB

Judges 12 in the BOSNC

Judges 12 in the BOTLNT

Judges 12 in the BOVCB

Judges 12 in the BOYCB

Judges 12 in the BPBB

Judges 12 in the BPH

Judges 12 in the BSB

Judges 12 in the CCB

Judges 12 in the CUV

Judges 12 in the CUVS

Judges 12 in the DBT

Judges 12 in the DGDNT

Judges 12 in the DHNT

Judges 12 in the DNT

Judges 12 in the ELBE

Judges 12 in the EMTV

Judges 12 in the ESV

Judges 12 in the FBV

Judges 12 in the FEB

Judges 12 in the GGMNT

Judges 12 in the GNT

Judges 12 in the HARY

Judges 12 in the HNT

Judges 12 in the IRVA

Judges 12 in the IRVB

Judges 12 in the IRVG

Judges 12 in the IRVH

Judges 12 in the IRVK

Judges 12 in the IRVM

Judges 12 in the IRVM2

Judges 12 in the IRVO

Judges 12 in the IRVP

Judges 12 in the IRVT

Judges 12 in the IRVT2

Judges 12 in the IRVU

Judges 12 in the ISVN

Judges 12 in the JSNT

Judges 12 in the KAPI

Judges 12 in the KBT1ETNIK

Judges 12 in the KBV

Judges 12 in the KJV

Judges 12 in the KNFD

Judges 12 in the LBA

Judges 12 in the LBLA

Judges 12 in the LNT

Judges 12 in the LSV

Judges 12 in the MAAL

Judges 12 in the MBV

Judges 12 in the MBV2

Judges 12 in the MHNT

Judges 12 in the MKNFD

Judges 12 in the MNG

Judges 12 in the MNT

Judges 12 in the MNT2

Judges 12 in the MRS1T

Judges 12 in the NAA

Judges 12 in the NASB

Judges 12 in the NBLA

Judges 12 in the NBS

Judges 12 in the NBVTP

Judges 12 in the NET2

Judges 12 in the NIV11

Judges 12 in the NNT

Judges 12 in the NNT2

Judges 12 in the NNT3

Judges 12 in the PDDPT

Judges 12 in the PFNT

Judges 12 in the RMNT

Judges 12 in the SBIAS

Judges 12 in the SBIBS

Judges 12 in the SBIBS2

Judges 12 in the SBICS

Judges 12 in the SBIDS

Judges 12 in the SBIGS

Judges 12 in the SBIHS

Judges 12 in the SBIIS

Judges 12 in the SBIIS2

Judges 12 in the SBIIS3

Judges 12 in the SBIKS

Judges 12 in the SBIKS2

Judges 12 in the SBIMS

Judges 12 in the SBIOS

Judges 12 in the SBIPS

Judges 12 in the SBISS

Judges 12 in the SBITS

Judges 12 in the SBITS2

Judges 12 in the SBITS3

Judges 12 in the SBITS4

Judges 12 in the SBIUS

Judges 12 in the SBIVS

Judges 12 in the SBT

Judges 12 in the SBT1E

Judges 12 in the SCHL

Judges 12 in the SNT

Judges 12 in the SUSU

Judges 12 in the SUSU2

Judges 12 in the SYNO

Judges 12 in the TBIAOTANT

Judges 12 in the TBT1E

Judges 12 in the TBT1E2

Judges 12 in the TFTIP

Judges 12 in the TFTU

Judges 12 in the TGNTATF3T

Judges 12 in the THAI

Judges 12 in the TNFD

Judges 12 in the TNT

Judges 12 in the TNTIK

Judges 12 in the TNTIL

Judges 12 in the TNTIN

Judges 12 in the TNTIP

Judges 12 in the TNTIZ

Judges 12 in the TOMA

Judges 12 in the TTENT

Judges 12 in the UBG

Judges 12 in the UGV

Judges 12 in the UGV2

Judges 12 in the UGV3

Judges 12 in the VBL

Judges 12 in the VDCC

Judges 12 in the YALU

Judges 12 in the YAPE

Judges 12 in the YBVTP

Judges 12 in the ZBP