1 Corinthians 16 (BOKCV)

1 Basi kuhusu changizo kwa ajili ya watakatifu: Kama nilivyoyaagiza makanisa ya Galatia, fanyeni vivyo hivyo. 2 Siku ya kwanza ya kila juma, kila mmoja wenu atenge kiasi cha fedha, kulingana na mapato yake na fedha hizo aziweke akiba, ili nitakapokuja pasiwe na lazima ya kufanya mchango. 3 Kwa hiyo nitakapowasili, nitawapa wale mtakaowachagua barua za kuwatambulisha, ili kuwatuma wapeleke zawadi zenu huko Yerusalemu. 4 Kama ikionekana ni vyema na mimi niende, basi hao watu watafuatana nami. 5 Baada ya kupitia Makedonia nitakuja kwenu, maana ninakusudia kupitia Makedonia. 6 Huenda nitakaa nanyi kwa muda, au hata kukaa nanyi kipindi chote cha baridi, ili mweze kunisaidia katika safari yangu, popote niendapo. 7 Kwa maana sitaki niwaone sasa na kupita tu; natarajia kuwa nanyi kwa muda wa kutosha, kama Bwana akipenda. 8 Lakini nitakaa Efeso mpaka wakati wa Pentekoste, 9 kwa maana mlango mkubwa umefunguliwa kwangu kufanya kazi yenye matunda, nako huko kuna adui wengi wanaonipinga. 10 Ikiwa Timotheo atakuja kwenu, hakikisheni kwamba hana hofu yoyote akiwa nanyi, kwa sababu anafanya kazi ya Bwana, kama mimi nifanyavyo. 11 Basi asiwepo mtu atakayekataa kumpokea. Msafirisheni kwa amani ili aweze kunijia tena. Namtarajia pamoja na ndugu. 12 Basi kwa habari za ndugu yetu Apolo, nimemsihi kwa bidii aje kwenu pamoja na hao ndugu. Ingawa alikuwa hapendi kabisa kuja sasa, lakini atakuja apatapo nafasi. 13 Kesheni, simameni imara katika imani, fanyeni kiume, kuweni mashujaa kuweni hodari. 14 Fanyeni kila kitu katika upendo. 15 Ninyi mnajua kwamba watu wa nyumbani mwa Stefana ndio waliokuwa wa kwanza kuamini katika Akaya, nao wamejitoa kwa ajili ya kuwahudumia watakatifu. Ndugu nawasihi, 16 mjitie katika kuwahudumia watu kama hawa na kila mmoja aingiaye kwenye kazi na kuifanya kwa bidii. 17 Nilifurahi wakati Stefana, Fortunato na Akaiko walipofika, kwa sababu wamenipatia yale niliyopungukiwa kutoka kwenu. 18 Kwa kuwa waliiburudisha roho yangu na zenu pia. Watu kama hawa wanastahili kutambuliwa. 19 Makanisa ya Asia yanawasalimu. Akila na Prisila, pamoja na kanisa lililoko nyumbani kwao wanawasalimu sana katika Bwana. 20 Ndugu wote walioko hapa wanawasalimu. Salimianeni kwa busu takatifu. 21 Mimi, Paulo, naandika salamu hizi kwa mkono wangu mwenyewe. 22 Kama mtu yeyote hampendi Bwana Yesu Kristo, na alaaniwe. Bwana wetu, njoo. 23 Neema ya Bwana Yesu iwe nanyi. 24 Upendo wangu uwe nanyi nyote katika Kristo Yesu. Amen.

In Other Versions

1 Corinthians 16 in the ANGEFD

1 Corinthians 16 in the ANTPNG2D

1 Corinthians 16 in the AS21

1 Corinthians 16 in the BAGH

1 Corinthians 16 in the BBPNG

1 Corinthians 16 in the BBT1E

1 Corinthians 16 in the BDS

1 Corinthians 16 in the BEV

1 Corinthians 16 in the BHAD

1 Corinthians 16 in the BIB

1 Corinthians 16 in the BLPT

1 Corinthians 16 in the BNT

1 Corinthians 16 in the BNTABOOT

1 Corinthians 16 in the BNTLV

1 Corinthians 16 in the BOATCB

1 Corinthians 16 in the BOATCB2

1 Corinthians 16 in the BOBCV

1 Corinthians 16 in the BOCNT

1 Corinthians 16 in the BOECS

1 Corinthians 16 in the BOGWICC

1 Corinthians 16 in the BOHCB

1 Corinthians 16 in the BOHCV

1 Corinthians 16 in the BOHLNT

1 Corinthians 16 in the BOHNTLTAL

1 Corinthians 16 in the BOICB

1 Corinthians 16 in the BOILNTAP

1 Corinthians 16 in the BOITCV

1 Corinthians 16 in the BOKCV2

1 Corinthians 16 in the BOKHWOG

1 Corinthians 16 in the BOKSSV

1 Corinthians 16 in the BOLCB

1 Corinthians 16 in the BOLCB2

1 Corinthians 16 in the BOMCV

1 Corinthians 16 in the BONAV

1 Corinthians 16 in the BONCB

1 Corinthians 16 in the BONLT

1 Corinthians 16 in the BONUT2

1 Corinthians 16 in the BOPLNT

1 Corinthians 16 in the BOSCB

1 Corinthians 16 in the BOSNC

1 Corinthians 16 in the BOTLNT

1 Corinthians 16 in the BOVCB

1 Corinthians 16 in the BOYCB

1 Corinthians 16 in the BPBB

1 Corinthians 16 in the BPH

1 Corinthians 16 in the BSB

1 Corinthians 16 in the CCB

1 Corinthians 16 in the CUV

1 Corinthians 16 in the CUVS

1 Corinthians 16 in the DBT

1 Corinthians 16 in the DGDNT

1 Corinthians 16 in the DHNT

1 Corinthians 16 in the DNT

1 Corinthians 16 in the ELBE

1 Corinthians 16 in the EMTV

1 Corinthians 16 in the ESV

1 Corinthians 16 in the FBV

1 Corinthians 16 in the FEB

1 Corinthians 16 in the GGMNT

1 Corinthians 16 in the GNT

1 Corinthians 16 in the HARY

1 Corinthians 16 in the HNT

1 Corinthians 16 in the IRVA

1 Corinthians 16 in the IRVB

1 Corinthians 16 in the IRVG

1 Corinthians 16 in the IRVH

1 Corinthians 16 in the IRVK

1 Corinthians 16 in the IRVM

1 Corinthians 16 in the IRVM2

1 Corinthians 16 in the IRVO

1 Corinthians 16 in the IRVP

1 Corinthians 16 in the IRVT

1 Corinthians 16 in the IRVT2

1 Corinthians 16 in the IRVU

1 Corinthians 16 in the ISVN

1 Corinthians 16 in the JSNT

1 Corinthians 16 in the KAPI

1 Corinthians 16 in the KBT1ETNIK

1 Corinthians 16 in the KBV

1 Corinthians 16 in the KJV

1 Corinthians 16 in the KNFD

1 Corinthians 16 in the LBA

1 Corinthians 16 in the LBLA

1 Corinthians 16 in the LNT

1 Corinthians 16 in the LSV

1 Corinthians 16 in the MAAL

1 Corinthians 16 in the MBV

1 Corinthians 16 in the MBV2

1 Corinthians 16 in the MHNT

1 Corinthians 16 in the MKNFD

1 Corinthians 16 in the MNG

1 Corinthians 16 in the MNT

1 Corinthians 16 in the MNT2

1 Corinthians 16 in the MRS1T

1 Corinthians 16 in the NAA

1 Corinthians 16 in the NASB

1 Corinthians 16 in the NBLA

1 Corinthians 16 in the NBS

1 Corinthians 16 in the NBVTP

1 Corinthians 16 in the NET2

1 Corinthians 16 in the NIV11

1 Corinthians 16 in the NNT

1 Corinthians 16 in the NNT2

1 Corinthians 16 in the NNT3

1 Corinthians 16 in the PDDPT

1 Corinthians 16 in the PFNT

1 Corinthians 16 in the RMNT

1 Corinthians 16 in the SBIAS

1 Corinthians 16 in the SBIBS

1 Corinthians 16 in the SBIBS2

1 Corinthians 16 in the SBICS

1 Corinthians 16 in the SBIDS

1 Corinthians 16 in the SBIGS

1 Corinthians 16 in the SBIHS

1 Corinthians 16 in the SBIIS

1 Corinthians 16 in the SBIIS2

1 Corinthians 16 in the SBIIS3

1 Corinthians 16 in the SBIKS

1 Corinthians 16 in the SBIKS2

1 Corinthians 16 in the SBIMS

1 Corinthians 16 in the SBIOS

1 Corinthians 16 in the SBIPS

1 Corinthians 16 in the SBISS

1 Corinthians 16 in the SBITS

1 Corinthians 16 in the SBITS2

1 Corinthians 16 in the SBITS3

1 Corinthians 16 in the SBITS4

1 Corinthians 16 in the SBIUS

1 Corinthians 16 in the SBIVS

1 Corinthians 16 in the SBT

1 Corinthians 16 in the SBT1E

1 Corinthians 16 in the SCHL

1 Corinthians 16 in the SNT

1 Corinthians 16 in the SUSU

1 Corinthians 16 in the SUSU2

1 Corinthians 16 in the SYNO

1 Corinthians 16 in the TBIAOTANT

1 Corinthians 16 in the TBT1E

1 Corinthians 16 in the TBT1E2

1 Corinthians 16 in the TFTIP

1 Corinthians 16 in the TFTU

1 Corinthians 16 in the TGNTATF3T

1 Corinthians 16 in the THAI

1 Corinthians 16 in the TNFD

1 Corinthians 16 in the TNT

1 Corinthians 16 in the TNTIK

1 Corinthians 16 in the TNTIL

1 Corinthians 16 in the TNTIN

1 Corinthians 16 in the TNTIP

1 Corinthians 16 in the TNTIZ

1 Corinthians 16 in the TOMA

1 Corinthians 16 in the TTENT

1 Corinthians 16 in the UBG

1 Corinthians 16 in the UGV

1 Corinthians 16 in the UGV2

1 Corinthians 16 in the UGV3

1 Corinthians 16 in the VBL

1 Corinthians 16 in the VDCC

1 Corinthians 16 in the YALU

1 Corinthians 16 in the YAPE

1 Corinthians 16 in the YBVTP

1 Corinthians 16 in the ZBP