2 Corinthians 10 (BOKCV)

1 Basi, mimi Paulo ninawasihi kwa unyenyekevu na upole wa Kristo, mimi niliye “mwoga” ninapokuwa pamoja nanyi ana kwa ana, lakini mwenye ujasiri nikiwa mbali nanyi! 2 Nawaomba nitakapokuja kwenu nisiwe na ujasiri dhidi ya watu fulani, kama ninavyotazamia kwa wale wanaodhani kwamba tunaishi kwa kufuata namna ya ulimwengu huu. 3 Ingawa tunaishi duniani, hatupigani vita kama ulimwengu ufanyavyo. 4 Silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome, 5 tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu, na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo, 6 tena tukiwa tayari kuadhibu kila tendo la kutotii, kutii kwenu kutakapokamilika. 7 Angalieni yale yaliyo machoni penu. Kama mtu yeyote anaamini kuwa yeye ni mali ya Kristo, basi kumbuka kuwa kama ulivyo wa Kristo, vivyo hivyo na sisi ndivyo tulivyo. 8 Basi hata kama nikijisifu zaidi kidogo kuhusu mamlaka tuliyo nayo, ambayo Bwana alitupa ili kuwajenga wala si kuwabomoa, mimi sitaionea haya. 9 Sitaki nionekane kama ninayejaribu kuwatisha kwa nyaraka zangu. 10 Kwa maana wanasema, “Nyaraka zake ni nzito na zenye nguvu, lakini ana kwa ana ni dhaifu na kuzungumza kwake ni kwa kudharauliwa.” 11 Watu kama hao wajue ya kuwa, yale tusemayo kwa barua tukiwa hatupo pamoja nanyi, ndivyo tulivyo na ndivyo tutakavyofanya tutakapokuwa pamoja nanyi. 12 Hatuthubutu kujiweka kwenye kundi moja au kujilinganisha na hao wanaojitukuza wenyewe kuwa wao ni wa maana sana. Wanapojipima na kujilinganisha wenyewe kwa wenyewe, wanaonyesha ya kuwa hawana busara. 13 Lakini sisi hatujajivuna kupita kiasi, bali majivuno yetu yatakuwa katika mipaka ile Mungu aliyotuwekea, mipaka ambayo inawafikia hata ninyi. 14 Kwa maana hatukuwa tunavuka mipaka katika kujisifu kwetu, kama vile ambavyo ingekuwa kama hatukuwa tumekuja kwenu. Kwa maana sisi ndio tuliokuwa wa kwanza kuja kwenu na Injili ya Kristo. 15 Wala hatuvuki mipaka kwa kujisifu kwetu kwa ajili ya kazi iliyofanywa na watu wengine. Tumaini letu ni kwamba imani yenu inavyozidi kukua, eneo letu la utendaji miongoni mwenu litapanuka zaidi, 16 ili tuweze kuhubiri Injili sehemu zilizo mbali na maeneo yenu. Kwa maana hatutaki kujisifu kwa ajili ya kazi ambayo imekwisha kufanyika tayari katika eneo la mtu mwingine. 17 Lakini, “Yeye ajisifuye na ajisifu katika Bwana.” 18 Kwa maana si yeye ajisifuye mwenyewe akubaliwaye, bali yeye ambaye Bwana humsifu.

In Other Versions

2 Corinthians 10 in the ANGEFD

2 Corinthians 10 in the ANTPNG2D

2 Corinthians 10 in the AS21

2 Corinthians 10 in the BAGH

2 Corinthians 10 in the BBPNG

2 Corinthians 10 in the BBT1E

2 Corinthians 10 in the BDS

2 Corinthians 10 in the BEV

2 Corinthians 10 in the BHAD

2 Corinthians 10 in the BIB

2 Corinthians 10 in the BLPT

2 Corinthians 10 in the BNT

2 Corinthians 10 in the BNTABOOT

2 Corinthians 10 in the BNTLV

2 Corinthians 10 in the BOATCB

2 Corinthians 10 in the BOATCB2

2 Corinthians 10 in the BOBCV

2 Corinthians 10 in the BOCNT

2 Corinthians 10 in the BOECS

2 Corinthians 10 in the BOGWICC

2 Corinthians 10 in the BOHCB

2 Corinthians 10 in the BOHCV

2 Corinthians 10 in the BOHLNT

2 Corinthians 10 in the BOHNTLTAL

2 Corinthians 10 in the BOICB

2 Corinthians 10 in the BOILNTAP

2 Corinthians 10 in the BOITCV

2 Corinthians 10 in the BOKCV2

2 Corinthians 10 in the BOKHWOG

2 Corinthians 10 in the BOKSSV

2 Corinthians 10 in the BOLCB

2 Corinthians 10 in the BOLCB2

2 Corinthians 10 in the BOMCV

2 Corinthians 10 in the BONAV

2 Corinthians 10 in the BONCB

2 Corinthians 10 in the BONLT

2 Corinthians 10 in the BONUT2

2 Corinthians 10 in the BOPLNT

2 Corinthians 10 in the BOSCB

2 Corinthians 10 in the BOSNC

2 Corinthians 10 in the BOTLNT

2 Corinthians 10 in the BOVCB

2 Corinthians 10 in the BOYCB

2 Corinthians 10 in the BPBB

2 Corinthians 10 in the BPH

2 Corinthians 10 in the BSB

2 Corinthians 10 in the CCB

2 Corinthians 10 in the CUV

2 Corinthians 10 in the CUVS

2 Corinthians 10 in the DBT

2 Corinthians 10 in the DGDNT

2 Corinthians 10 in the DHNT

2 Corinthians 10 in the DNT

2 Corinthians 10 in the ELBE

2 Corinthians 10 in the EMTV

2 Corinthians 10 in the ESV

2 Corinthians 10 in the FBV

2 Corinthians 10 in the FEB

2 Corinthians 10 in the GGMNT

2 Corinthians 10 in the GNT

2 Corinthians 10 in the HARY

2 Corinthians 10 in the HNT

2 Corinthians 10 in the IRVA

2 Corinthians 10 in the IRVB

2 Corinthians 10 in the IRVG

2 Corinthians 10 in the IRVH

2 Corinthians 10 in the IRVK

2 Corinthians 10 in the IRVM

2 Corinthians 10 in the IRVM2

2 Corinthians 10 in the IRVO

2 Corinthians 10 in the IRVP

2 Corinthians 10 in the IRVT

2 Corinthians 10 in the IRVT2

2 Corinthians 10 in the IRVU

2 Corinthians 10 in the ISVN

2 Corinthians 10 in the JSNT

2 Corinthians 10 in the KAPI

2 Corinthians 10 in the KBT1ETNIK

2 Corinthians 10 in the KBV

2 Corinthians 10 in the KJV

2 Corinthians 10 in the KNFD

2 Corinthians 10 in the LBA

2 Corinthians 10 in the LBLA

2 Corinthians 10 in the LNT

2 Corinthians 10 in the LSV

2 Corinthians 10 in the MAAL

2 Corinthians 10 in the MBV

2 Corinthians 10 in the MBV2

2 Corinthians 10 in the MHNT

2 Corinthians 10 in the MKNFD

2 Corinthians 10 in the MNG

2 Corinthians 10 in the MNT

2 Corinthians 10 in the MNT2

2 Corinthians 10 in the MRS1T

2 Corinthians 10 in the NAA

2 Corinthians 10 in the NASB

2 Corinthians 10 in the NBLA

2 Corinthians 10 in the NBS

2 Corinthians 10 in the NBVTP

2 Corinthians 10 in the NET2

2 Corinthians 10 in the NIV11

2 Corinthians 10 in the NNT

2 Corinthians 10 in the NNT2

2 Corinthians 10 in the NNT3

2 Corinthians 10 in the PDDPT

2 Corinthians 10 in the PFNT

2 Corinthians 10 in the RMNT

2 Corinthians 10 in the SBIAS

2 Corinthians 10 in the SBIBS

2 Corinthians 10 in the SBIBS2

2 Corinthians 10 in the SBICS

2 Corinthians 10 in the SBIDS

2 Corinthians 10 in the SBIGS

2 Corinthians 10 in the SBIHS

2 Corinthians 10 in the SBIIS

2 Corinthians 10 in the SBIIS2

2 Corinthians 10 in the SBIIS3

2 Corinthians 10 in the SBIKS

2 Corinthians 10 in the SBIKS2

2 Corinthians 10 in the SBIMS

2 Corinthians 10 in the SBIOS

2 Corinthians 10 in the SBIPS

2 Corinthians 10 in the SBISS

2 Corinthians 10 in the SBITS

2 Corinthians 10 in the SBITS2

2 Corinthians 10 in the SBITS3

2 Corinthians 10 in the SBITS4

2 Corinthians 10 in the SBIUS

2 Corinthians 10 in the SBIVS

2 Corinthians 10 in the SBT

2 Corinthians 10 in the SBT1E

2 Corinthians 10 in the SCHL

2 Corinthians 10 in the SNT

2 Corinthians 10 in the SUSU

2 Corinthians 10 in the SUSU2

2 Corinthians 10 in the SYNO

2 Corinthians 10 in the TBIAOTANT

2 Corinthians 10 in the TBT1E

2 Corinthians 10 in the TBT1E2

2 Corinthians 10 in the TFTIP

2 Corinthians 10 in the TFTU

2 Corinthians 10 in the TGNTATF3T

2 Corinthians 10 in the THAI

2 Corinthians 10 in the TNFD

2 Corinthians 10 in the TNT

2 Corinthians 10 in the TNTIK

2 Corinthians 10 in the TNTIL

2 Corinthians 10 in the TNTIN

2 Corinthians 10 in the TNTIP

2 Corinthians 10 in the TNTIZ

2 Corinthians 10 in the TOMA

2 Corinthians 10 in the TTENT

2 Corinthians 10 in the UBG

2 Corinthians 10 in the UGV

2 Corinthians 10 in the UGV2

2 Corinthians 10 in the UGV3

2 Corinthians 10 in the VBL

2 Corinthians 10 in the VDCC

2 Corinthians 10 in the YALU

2 Corinthians 10 in the YAPE

2 Corinthians 10 in the YBVTP

2 Corinthians 10 in the ZBP