Ezekiel 28 (BOKCV)

1 Neno la BWANA likanijia kusema: 2 “Mwanadamu, mwambie mfalme wa Tiro, ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo:“ ‘Kwa sababu moyo wako umejivunana umesema, “Mimi ni mungu;nami ninaketi katika kiti cha enzi cha mungukatika moyo wa bahari.”Lakini wewe ni mwanadamu, wala si mungu,ingawa unafikiri kuwa una hekima kama mungu. 3 Je, wewe una hekima kuliko Danieli?Je, hakuna siri iliyofichika kwako? 4 Kwa hekima yako na ufahamu wako,umejipatia utajiri,nawe umejikusanyia dhahabuna fedha katika hazina zako. 5 Kwa werevu wako mwingi katika biashara,umeongeza utajiri wakona kwa sababu ya utajiri wakomoyo wako umekuwa na kiburi. 6 “ ‘Kwa hiyo, hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo:“ ‘Kwa sababu unafikiri una hekima,mwenye hekima kama mungu, 7 mimi nitawaleta wageni dhidi yako,taifa katili kuliko yote;watafuta panga zao dhidi ya uzuri wa hekima yako,na kuchafua fahari yako inayongʼaa. 8 Watakushusha chini shimoni,nawe utakufa kifo cha kikatilikatika moyo wa bahari. 9 Je, wakati huo utasema, “Mimi ni mungu,”mbele ya wale wanaokuua?Utakuwa mwanadamu tu, wala si mungu,mikononi mwa hao wanaokuua. 10 Utakufa kifo cha wasiotahiriwakwa mkono wa wageni.Kwa kuwa mimi nimenena, asema BWANA Mwenyezi.’ ” 11 Neno la BWANA likanijia kusema: 12 “Mwanadamu, mfanyie maombolezo mfalme wa Tiro, nawe umwambie: ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo:“ ‘Ulikuwa kipeo cha ukamilifu,ukiwa umejaa hekimana mkamilifu katika uzuri. 13 Ulikuwa ndani ya Edeni,bustani ya Mungu;kila kito cha thamani kilikupamba:akiki nyekundu, yakuti manjano na zumaridi,krisolitho, shohamu na yaspi,yakuti samawi, almasi na zabarajadi.Kuwekwa kwa hayo mapambo na kushikizwa kwakekulifanywa kwa dhahabu;siku ile ulipoumbwa yaliandaliwa tayari. 14 Ulitiwa mafuta kuwa kerubi mlinzi,kwa kuwa hivyo ndivyo nilivyokuweka wakfu.Ulikuwa kwenye mlima mtakatifu wa Mungu;ulitembea katikati ya vito vya moto. 15 Ulikuwa mnyofu katika njia zakotangu siku ile ya kuumbwa kwako,hadi uovu ulipoonekana ndani yako. 16 Kutokana na biashara yako iliyoenea,ulijazwa na dhuluma,nawe ukatenda dhambi.Hivyo nilikuondoa kwa aibu kutoka mlima wa Mungu,nami nikakufukuza, ee kerubi mlinzi,kutoka katikati ya vito vya moto. 17 Moyo wako ukawa na kiburikwa ajili ya uzuri wako,nawe ukaiharibu hekima yakokwa sababu ya fahari yako.Kwa hiyo nikakutupa chini;nimekufanya kioja mbele ya wafalme. 18 Kwa dhambi zako nyingi na biashara yako ya dhuluma,umenajisi mahali pako patakatifu.Kwa hiyo nilifanya moto utoke ndani yako,nao ukakuteketeza,nami nikakufanya majivu juu ya nchi,machoni pa wote waliokuwa wakitazama. 19 Mataifa yote yaliyokujuayanakustajabia;umefikia mwisho wa kutishana hutakuwepo tena milele.’ ” 20 Neno la BWANA likanijia kusema: 21 “Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Sidoni, ukatabiri dhidi yake, 22 nawe useme: ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo:“ ‘Mimi ni kinyume chako, ee Sidoni,nami nitapata utukufu ndani yako.Nao watajua kwamba Mimi ndimi BWANA,nitakapotekeleza hukumu zanguna kuonyesha utakatifu wangu ndani yake. 23 Nitapeleka tauni ndani yakena kufanya damu itiririke katika barabara zake.Waliochinjwa wataanguka ndani yake,kwa upanga dhidi yake kila upande.Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi BWANA. 24 “ ‘Nyumba ya Israeli hawatakuwa tena na majirani wenye nia ya kuwadhuru wanaoumiza kama michongoma na miiba mikali. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi BWANA Mwenyezi. 25 “ ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: Nitakapoikusanya nyumba ya Israeli kutoka mataifa ambako wametawanyika, nitajionyesha kuwa mtakatifu miongoni mwao machoni pa mataifa. Ndipo watakapoishi katika nchi yao wenyewe, niliyompa mtumishi wangu Yakobo. 26 Wataishi humo kwa salama na watajenga nyumba na kupanda mashamba ya mizabibu, wataishi kwa salama nitakapowaadhibu majirani zao wote ambao waliwafanyia uovu. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi BWANA, Mungu wao.’ ”

In Other Versions

Ezekiel 28 in the ANGEFD

Ezekiel 28 in the ANTPNG2D

Ezekiel 28 in the AS21

Ezekiel 28 in the BAGH

Ezekiel 28 in the BBPNG

Ezekiel 28 in the BBT1E

Ezekiel 28 in the BDS

Ezekiel 28 in the BEV

Ezekiel 28 in the BHAD

Ezekiel 28 in the BIB

Ezekiel 28 in the BLPT

Ezekiel 28 in the BNT

Ezekiel 28 in the BNTABOOT

Ezekiel 28 in the BNTLV

Ezekiel 28 in the BOATCB

Ezekiel 28 in the BOATCB2

Ezekiel 28 in the BOBCV

Ezekiel 28 in the BOCNT

Ezekiel 28 in the BOECS

Ezekiel 28 in the BOGWICC

Ezekiel 28 in the BOHCB

Ezekiel 28 in the BOHCV

Ezekiel 28 in the BOHLNT

Ezekiel 28 in the BOHNTLTAL

Ezekiel 28 in the BOICB

Ezekiel 28 in the BOILNTAP

Ezekiel 28 in the BOITCV

Ezekiel 28 in the BOKCV2

Ezekiel 28 in the BOKHWOG

Ezekiel 28 in the BOKSSV

Ezekiel 28 in the BOLCB

Ezekiel 28 in the BOLCB2

Ezekiel 28 in the BOMCV

Ezekiel 28 in the BONAV

Ezekiel 28 in the BONCB

Ezekiel 28 in the BONLT

Ezekiel 28 in the BONUT2

Ezekiel 28 in the BOPLNT

Ezekiel 28 in the BOSCB

Ezekiel 28 in the BOSNC

Ezekiel 28 in the BOTLNT

Ezekiel 28 in the BOVCB

Ezekiel 28 in the BOYCB

Ezekiel 28 in the BPBB

Ezekiel 28 in the BPH

Ezekiel 28 in the BSB

Ezekiel 28 in the CCB

Ezekiel 28 in the CUV

Ezekiel 28 in the CUVS

Ezekiel 28 in the DBT

Ezekiel 28 in the DGDNT

Ezekiel 28 in the DHNT

Ezekiel 28 in the DNT

Ezekiel 28 in the ELBE

Ezekiel 28 in the EMTV

Ezekiel 28 in the ESV

Ezekiel 28 in the FBV

Ezekiel 28 in the FEB

Ezekiel 28 in the GGMNT

Ezekiel 28 in the GNT

Ezekiel 28 in the HARY

Ezekiel 28 in the HNT

Ezekiel 28 in the IRVA

Ezekiel 28 in the IRVB

Ezekiel 28 in the IRVG

Ezekiel 28 in the IRVH

Ezekiel 28 in the IRVK

Ezekiel 28 in the IRVM

Ezekiel 28 in the IRVM2

Ezekiel 28 in the IRVO

Ezekiel 28 in the IRVP

Ezekiel 28 in the IRVT

Ezekiel 28 in the IRVT2

Ezekiel 28 in the IRVU

Ezekiel 28 in the ISVN

Ezekiel 28 in the JSNT

Ezekiel 28 in the KAPI

Ezekiel 28 in the KBT1ETNIK

Ezekiel 28 in the KBV

Ezekiel 28 in the KJV

Ezekiel 28 in the KNFD

Ezekiel 28 in the LBA

Ezekiel 28 in the LBLA

Ezekiel 28 in the LNT

Ezekiel 28 in the LSV

Ezekiel 28 in the MAAL

Ezekiel 28 in the MBV

Ezekiel 28 in the MBV2

Ezekiel 28 in the MHNT

Ezekiel 28 in the MKNFD

Ezekiel 28 in the MNG

Ezekiel 28 in the MNT

Ezekiel 28 in the MNT2

Ezekiel 28 in the MRS1T

Ezekiel 28 in the NAA

Ezekiel 28 in the NASB

Ezekiel 28 in the NBLA

Ezekiel 28 in the NBS

Ezekiel 28 in the NBVTP

Ezekiel 28 in the NET2

Ezekiel 28 in the NIV11

Ezekiel 28 in the NNT

Ezekiel 28 in the NNT2

Ezekiel 28 in the NNT3

Ezekiel 28 in the PDDPT

Ezekiel 28 in the PFNT

Ezekiel 28 in the RMNT

Ezekiel 28 in the SBIAS

Ezekiel 28 in the SBIBS

Ezekiel 28 in the SBIBS2

Ezekiel 28 in the SBICS

Ezekiel 28 in the SBIDS

Ezekiel 28 in the SBIGS

Ezekiel 28 in the SBIHS

Ezekiel 28 in the SBIIS

Ezekiel 28 in the SBIIS2

Ezekiel 28 in the SBIIS3

Ezekiel 28 in the SBIKS

Ezekiel 28 in the SBIKS2

Ezekiel 28 in the SBIMS

Ezekiel 28 in the SBIOS

Ezekiel 28 in the SBIPS

Ezekiel 28 in the SBISS

Ezekiel 28 in the SBITS

Ezekiel 28 in the SBITS2

Ezekiel 28 in the SBITS3

Ezekiel 28 in the SBITS4

Ezekiel 28 in the SBIUS

Ezekiel 28 in the SBIVS

Ezekiel 28 in the SBT

Ezekiel 28 in the SBT1E

Ezekiel 28 in the SCHL

Ezekiel 28 in the SNT

Ezekiel 28 in the SUSU

Ezekiel 28 in the SUSU2

Ezekiel 28 in the SYNO

Ezekiel 28 in the TBIAOTANT

Ezekiel 28 in the TBT1E

Ezekiel 28 in the TBT1E2

Ezekiel 28 in the TFTIP

Ezekiel 28 in the TFTU

Ezekiel 28 in the TGNTATF3T

Ezekiel 28 in the THAI

Ezekiel 28 in the TNFD

Ezekiel 28 in the TNT

Ezekiel 28 in the TNTIK

Ezekiel 28 in the TNTIL

Ezekiel 28 in the TNTIN

Ezekiel 28 in the TNTIP

Ezekiel 28 in the TNTIZ

Ezekiel 28 in the TOMA

Ezekiel 28 in the TTENT

Ezekiel 28 in the UBG

Ezekiel 28 in the UGV

Ezekiel 28 in the UGV2

Ezekiel 28 in the UGV3

Ezekiel 28 in the VBL

Ezekiel 28 in the VDCC

Ezekiel 28 in the YALU

Ezekiel 28 in the YAPE

Ezekiel 28 in the YBVTP

Ezekiel 28 in the ZBP