Jeremiah 37 (BOKCV)
1 Sedekia mwana wa Yosia akafanywa kuwa mfalme wa Yuda na Nebukadneza mfalme wa Babeli, naye akatawala mahali pa Yehoyakini mwana wa Yehoyakimu. 2 Lakini sio Sedekia, wala watumishi wake, wala watu wa nchi walisikiliza maneno ya BWANA aliyonena kupitia kwa nabii Yeremia. 3 Hata hivyo, Mfalme Sedekia akamtuma Yehukali mwana wa Shelemia, pamoja na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwa nabii Yeremia na ujumbe huu: “Tafadhali utuombee kwa BWANA, Mungu wetu.” 4 Wakati huu Yeremia alikuwa huru kuingia na kutoka katikati ya watu, kwa sababu alikuwa bado hajatiwa gerezani. 5 Jeshi la Farao lilikuwa limetoka Misri, nao Wakaldayo waliokuwa wameuzunguka Yerusalemu kwa majeshi waliposikia taarifa kuhusu jeshi hilo walijiondoa Yerusalemu. 6 Ndipo neno la BWANA likamjia nabii Yeremia kusema: 7 “Hili ndilo asemalo BWANA, Mungu wa Israeli: Mwambie mfalme wa Yuda aliyekutuma uniulize mimi, ‘Jeshi la Farao lililotoka kuja kukusaidia litarudi katika nchi yake yenyewe, yaani Misri. 8 Kisha Wakaldayo watarudi na kushambulia mji huu, watauteka na kuuchoma moto.’ 9 “Hili ndilo BWANA asemalo: Msijidanganye wenyewe mkifikiri, ‘Hakika Wakaldayo watatuacha na kwenda zao.’ Hakika hawatawaacha! 10 Hata kama mngelishinda jeshi lote la Wakaldayo linalowashambulia ninyi, na wakawa ni watu waliojeruhiwa tu waliobaki kwenye mahema yao, wangetoka na kuuchoma mji huu moto.” 11 Baada ya jeshi la Wakaldayo kujiondoa kutoka Yerusalemu kwa sababu ya jeshi la Farao, 12 Yeremia akaanza kuondoka mjini ili kwenda nchi ya Benyamini ili akapate sehemu yake ya milki miongoni mwa watu huko. 13 Lakini alipofika kwenye Lango la Benyamini, mkuu wa walinzi, ambaye jina lake lilikuwa Iriya mwana wa Shelemia mwana wa Hanania, akamkamata Yeremia na kusema, “Wewe unakwenda kujiunga na Wakaldayo!” 14 Yeremia akasema, “Hiyo si kweli, mimi sijiungi na Wakaldayo.” Lakini Iriya hakumsikiliza; badala yake, akamkamata Yeremia na kumpeleka kwa maafisa. 15 Wakamkasirikia Yeremia, wakaamuru apigwe, na akafungwa katika nyumba ya Yonathani mwandishi waliyokuwa wameifanya gereza. 16 Yeremia akawekwa kwenye chumba kilichofukuliwa chini, kilichojengwa kwa zege ndani ya gereza chini ya ngome, akakaa huko kwa muda mrefu. 17 Kisha Mfalme Sedekia akatumana aletwe katika jumba la kifalme, mahali alipomuuliza kwa siri, “Je, kuna neno lolote kutoka kwa BWANA?”Yeremia akajibu, “Ndiyo, utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli.” 18 Kisha Yeremia akamwambia Mfalme Sedekia, “Nimefanya kosa gani dhidi yako na maafisa wako au watu hawa, hata ukanitia gerezani? 19 Wako wapi manabii wako waliokutabiria wakisema, ‘Mfalme wa Babeli hatakushambulia wewe wala nchi hii?’ 20 Lakini sasa, bwana wangu mfalme, tafadhali sikiliza. Niruhusu nilete maombi yangu mbele yako, usinirudishe kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, nisije nikafia humo.” 21 Ndipo Mfalme Sedekia akatoa maagizo Yeremia awekwe katika ua wa walinzi, na apewe mkate kutoka mitaa ya waokaji kila siku mpaka mikate yote katika mji itakapokwisha. Kwa hiyo Yeremia akabaki katika ua wa walinzi.
In Other Versions
Jeremiah 37 in the ANGEFD
Jeremiah 37 in the ANTPNG2D
Jeremiah 37 in the AS21
Jeremiah 37 in the BAGH
Jeremiah 37 in the BBPNG
Jeremiah 37 in the BBT1E
Jeremiah 37 in the BDS
Jeremiah 37 in the BEV
Jeremiah 37 in the BHAD
Jeremiah 37 in the BIB
Jeremiah 37 in the BLPT
Jeremiah 37 in the BNT
Jeremiah 37 in the BNTABOOT
Jeremiah 37 in the BNTLV
Jeremiah 37 in the BOATCB
Jeremiah 37 in the BOATCB2
Jeremiah 37 in the BOBCV
Jeremiah 37 in the BOCNT
Jeremiah 37 in the BOECS
Jeremiah 37 in the BOGWICC
Jeremiah 37 in the BOHCB
Jeremiah 37 in the BOHCV
Jeremiah 37 in the BOHLNT
Jeremiah 37 in the BOHNTLTAL
Jeremiah 37 in the BOICB
Jeremiah 37 in the BOILNTAP
Jeremiah 37 in the BOITCV
Jeremiah 37 in the BOKCV2
Jeremiah 37 in the BOKHWOG
Jeremiah 37 in the BOKSSV
Jeremiah 37 in the BOLCB
Jeremiah 37 in the BOLCB2
Jeremiah 37 in the BOMCV
Jeremiah 37 in the BONAV
Jeremiah 37 in the BONCB
Jeremiah 37 in the BONLT
Jeremiah 37 in the BONUT2
Jeremiah 37 in the BOPLNT
Jeremiah 37 in the BOSCB
Jeremiah 37 in the BOSNC
Jeremiah 37 in the BOTLNT
Jeremiah 37 in the BOVCB
Jeremiah 37 in the BOYCB
Jeremiah 37 in the BPBB
Jeremiah 37 in the BPH
Jeremiah 37 in the BSB
Jeremiah 37 in the CCB
Jeremiah 37 in the CUV
Jeremiah 37 in the CUVS
Jeremiah 37 in the DBT
Jeremiah 37 in the DGDNT
Jeremiah 37 in the DHNT
Jeremiah 37 in the DNT
Jeremiah 37 in the ELBE
Jeremiah 37 in the EMTV
Jeremiah 37 in the ESV
Jeremiah 37 in the FBV
Jeremiah 37 in the FEB
Jeremiah 37 in the GGMNT
Jeremiah 37 in the GNT
Jeremiah 37 in the HARY
Jeremiah 37 in the HNT
Jeremiah 37 in the IRVA
Jeremiah 37 in the IRVB
Jeremiah 37 in the IRVG
Jeremiah 37 in the IRVH
Jeremiah 37 in the IRVK
Jeremiah 37 in the IRVM
Jeremiah 37 in the IRVM2
Jeremiah 37 in the IRVO
Jeremiah 37 in the IRVP
Jeremiah 37 in the IRVT
Jeremiah 37 in the IRVT2
Jeremiah 37 in the IRVU
Jeremiah 37 in the ISVN
Jeremiah 37 in the JSNT
Jeremiah 37 in the KAPI
Jeremiah 37 in the KBT1ETNIK
Jeremiah 37 in the KBV
Jeremiah 37 in the KJV
Jeremiah 37 in the KNFD
Jeremiah 37 in the LBA
Jeremiah 37 in the LBLA
Jeremiah 37 in the LNT
Jeremiah 37 in the LSV
Jeremiah 37 in the MAAL
Jeremiah 37 in the MBV
Jeremiah 37 in the MBV2
Jeremiah 37 in the MHNT
Jeremiah 37 in the MKNFD
Jeremiah 37 in the MNG
Jeremiah 37 in the MNT
Jeremiah 37 in the MNT2
Jeremiah 37 in the MRS1T
Jeremiah 37 in the NAA
Jeremiah 37 in the NASB
Jeremiah 37 in the NBLA
Jeremiah 37 in the NBS
Jeremiah 37 in the NBVTP
Jeremiah 37 in the NET2
Jeremiah 37 in the NIV11
Jeremiah 37 in the NNT
Jeremiah 37 in the NNT2
Jeremiah 37 in the NNT3
Jeremiah 37 in the PDDPT
Jeremiah 37 in the PFNT
Jeremiah 37 in the RMNT
Jeremiah 37 in the SBIAS
Jeremiah 37 in the SBIBS
Jeremiah 37 in the SBIBS2
Jeremiah 37 in the SBICS
Jeremiah 37 in the SBIDS
Jeremiah 37 in the SBIGS
Jeremiah 37 in the SBIHS
Jeremiah 37 in the SBIIS
Jeremiah 37 in the SBIIS2
Jeremiah 37 in the SBIIS3
Jeremiah 37 in the SBIKS
Jeremiah 37 in the SBIKS2
Jeremiah 37 in the SBIMS
Jeremiah 37 in the SBIOS
Jeremiah 37 in the SBIPS
Jeremiah 37 in the SBISS
Jeremiah 37 in the SBITS
Jeremiah 37 in the SBITS2
Jeremiah 37 in the SBITS3
Jeremiah 37 in the SBITS4
Jeremiah 37 in the SBIUS
Jeremiah 37 in the SBIVS
Jeremiah 37 in the SBT
Jeremiah 37 in the SBT1E
Jeremiah 37 in the SCHL
Jeremiah 37 in the SNT
Jeremiah 37 in the SUSU
Jeremiah 37 in the SUSU2
Jeremiah 37 in the SYNO
Jeremiah 37 in the TBIAOTANT
Jeremiah 37 in the TBT1E
Jeremiah 37 in the TBT1E2
Jeremiah 37 in the TFTIP
Jeremiah 37 in the TFTU
Jeremiah 37 in the TGNTATF3T
Jeremiah 37 in the THAI
Jeremiah 37 in the TNFD
Jeremiah 37 in the TNT
Jeremiah 37 in the TNTIK
Jeremiah 37 in the TNTIL
Jeremiah 37 in the TNTIN
Jeremiah 37 in the TNTIP
Jeremiah 37 in the TNTIZ
Jeremiah 37 in the TOMA
Jeremiah 37 in the TTENT
Jeremiah 37 in the UBG
Jeremiah 37 in the UGV
Jeremiah 37 in the UGV2
Jeremiah 37 in the UGV3
Jeremiah 37 in the VBL
Jeremiah 37 in the VDCC
Jeremiah 37 in the YALU
Jeremiah 37 in the YAPE
Jeremiah 37 in the YBVTP
Jeremiah 37 in the ZBP