2 Corinthians 7 (BOKCV)

1 Wapenzi, kwa kuwa tunazo ahadi hizi, basi na tujitakase nafsi zetu kutokana na kila kitu kitiacho mwili na roho unajisi, tukitimiza utakatifu kwa kumcha Mungu. 2 Tupatieni nafasi mioyoni mwenu. Hatujamkosea mtu yeyote, hatujampotosha mtu yeyote, wala hatujamdhulumu mtu yeyote. 3 Sisemi haya ili kuwahukumu, kwa kuwa nilisema mwanzo, kwamba ninyi mko mioyoni mwetu hata kwa kufa pamoja au kuishi pamoja. 4 Mara nyingi najivuna kwa ajili yenu; naona fahari juu yenu. Nimejawa na faraja. Nina furaha kupita kiasi katika mateso yetu yote. 5 Kwa maana hata tulipoingia Makedonia, miili yetu haikuwa na raha. Tulisumbuliwa kila upande, kwa nje kulikuwa na mapigano na mioyoni mwetu tulikuwa na hofu. 6 Bali Mungu, yeye awafarijie wenye huzuni, alitufariji kwa kufika kwake Tito. 7 Lakini si kule kuja kwa Tito tu, bali pia kwa faraja mliyompa. Alitueleza jinsi mlivyonionea shauku, huzuni yenu kubwa na juhudi yenu kwa ajili yangu, ili kwamba furaha yangu ipate kuwa kubwa kuliko wakati wowote. 8 Hata kama niliwahuzunisha kwa barua yangu, sijutii. Ingawa nilijuta kwa muda mfupi, kwa kuwa najua kwamba barua yangu iliwaumiza, lakini ni kwa kitambo tu, 9 lakini sasa nina furaha, si kwa sababu mlihuzunika, bali kwa kuwa huzuni hiyo iliwafanya mtubu. Kwa maana mlihuzunishwa kama Mungu alivyokusudia watu wahuzunike na hivyo sisi hatukuwadhuru kwa njia yoyote. 10 Kwa maana huzuni ya kimungu huleta toba iletayo wokovu na wala haina majuto. Lakini huzuni ya kidunia husababisha mauti. 11 Tazameni jinsi huzuni hii ya kimungu ilivyoleta faida ndani yenu: bidii mliyo nayo, juhudi mliyofanya kujitetea, uchungu wenu, hofu yenu, upendo wenu, shauku yenu na jinsi mlivyokuwa tayari kutoa adhabu inayostahili. Kwa kila njia mmejithibitisha kuwa safi katika jambo hilo. 12 Hivyo ingawa niliwaandikia, haikuwa kwa sababu ya huyo aliyekosa au huyo aliyekosewa. Lakini nilitaka ninyi wenyewe mwone, mbele za Mungu, jinsi mlivyojitoa kwa ajili yetu. 13 Kwa ajili ya haya tumefarijika.Zaidi ya kule sisi kutiwa moyo, tulifurahi sana kumwona Tito alivyo na furaha, kwa sababu roho yake imeburudishwa na ninyi nyote. 14 Nilikuwa nimewasifu ninyi kwake, nanyi hamkuniaibisha. Lakini kila kitu tulichowaambia ninyi, kilikuwa kweli, hivyo kule kujisifu kwetu kwa Tito kuwahusu ninyi kumethibitishwa kuwa kweli pia. 15 Upendo wake kwenu unaongezeka sana anapokumbuka jinsi mlivyokuwa watiifu, na kumpokea kwa hofu na kutetemeka. 16 Nafurahi kwamba ninaweza kuwatumaini ninyi kabisa.

In Other Versions

2 Corinthians 7 in the ANGEFD

2 Corinthians 7 in the ANTPNG2D

2 Corinthians 7 in the AS21

2 Corinthians 7 in the BAGH

2 Corinthians 7 in the BBPNG

2 Corinthians 7 in the BBT1E

2 Corinthians 7 in the BDS

2 Corinthians 7 in the BEV

2 Corinthians 7 in the BHAD

2 Corinthians 7 in the BIB

2 Corinthians 7 in the BLPT

2 Corinthians 7 in the BNT

2 Corinthians 7 in the BNTABOOT

2 Corinthians 7 in the BNTLV

2 Corinthians 7 in the BOATCB

2 Corinthians 7 in the BOATCB2

2 Corinthians 7 in the BOBCV

2 Corinthians 7 in the BOCNT

2 Corinthians 7 in the BOECS

2 Corinthians 7 in the BOGWICC

2 Corinthians 7 in the BOHCB

2 Corinthians 7 in the BOHCV

2 Corinthians 7 in the BOHLNT

2 Corinthians 7 in the BOHNTLTAL

2 Corinthians 7 in the BOICB

2 Corinthians 7 in the BOILNTAP

2 Corinthians 7 in the BOITCV

2 Corinthians 7 in the BOKCV2

2 Corinthians 7 in the BOKHWOG

2 Corinthians 7 in the BOKSSV

2 Corinthians 7 in the BOLCB

2 Corinthians 7 in the BOLCB2

2 Corinthians 7 in the BOMCV

2 Corinthians 7 in the BONAV

2 Corinthians 7 in the BONCB

2 Corinthians 7 in the BONLT

2 Corinthians 7 in the BONUT2

2 Corinthians 7 in the BOPLNT

2 Corinthians 7 in the BOSCB

2 Corinthians 7 in the BOSNC

2 Corinthians 7 in the BOTLNT

2 Corinthians 7 in the BOVCB

2 Corinthians 7 in the BOYCB

2 Corinthians 7 in the BPBB

2 Corinthians 7 in the BPH

2 Corinthians 7 in the BSB

2 Corinthians 7 in the CCB

2 Corinthians 7 in the CUV

2 Corinthians 7 in the CUVS

2 Corinthians 7 in the DBT

2 Corinthians 7 in the DGDNT

2 Corinthians 7 in the DHNT

2 Corinthians 7 in the DNT

2 Corinthians 7 in the ELBE

2 Corinthians 7 in the EMTV

2 Corinthians 7 in the ESV

2 Corinthians 7 in the FBV

2 Corinthians 7 in the FEB

2 Corinthians 7 in the GGMNT

2 Corinthians 7 in the GNT

2 Corinthians 7 in the HARY

2 Corinthians 7 in the HNT

2 Corinthians 7 in the IRVA

2 Corinthians 7 in the IRVB

2 Corinthians 7 in the IRVG

2 Corinthians 7 in the IRVH

2 Corinthians 7 in the IRVK

2 Corinthians 7 in the IRVM

2 Corinthians 7 in the IRVM2

2 Corinthians 7 in the IRVO

2 Corinthians 7 in the IRVP

2 Corinthians 7 in the IRVT

2 Corinthians 7 in the IRVT2

2 Corinthians 7 in the IRVU

2 Corinthians 7 in the ISVN

2 Corinthians 7 in the JSNT

2 Corinthians 7 in the KAPI

2 Corinthians 7 in the KBT1ETNIK

2 Corinthians 7 in the KBV

2 Corinthians 7 in the KJV

2 Corinthians 7 in the KNFD

2 Corinthians 7 in the LBA

2 Corinthians 7 in the LBLA

2 Corinthians 7 in the LNT

2 Corinthians 7 in the LSV

2 Corinthians 7 in the MAAL

2 Corinthians 7 in the MBV

2 Corinthians 7 in the MBV2

2 Corinthians 7 in the MHNT

2 Corinthians 7 in the MKNFD

2 Corinthians 7 in the MNG

2 Corinthians 7 in the MNT

2 Corinthians 7 in the MNT2

2 Corinthians 7 in the MRS1T

2 Corinthians 7 in the NAA

2 Corinthians 7 in the NASB

2 Corinthians 7 in the NBLA

2 Corinthians 7 in the NBS

2 Corinthians 7 in the NBVTP

2 Corinthians 7 in the NET2

2 Corinthians 7 in the NIV11

2 Corinthians 7 in the NNT

2 Corinthians 7 in the NNT2

2 Corinthians 7 in the NNT3

2 Corinthians 7 in the PDDPT

2 Corinthians 7 in the PFNT

2 Corinthians 7 in the RMNT

2 Corinthians 7 in the SBIAS

2 Corinthians 7 in the SBIBS

2 Corinthians 7 in the SBIBS2

2 Corinthians 7 in the SBICS

2 Corinthians 7 in the SBIDS

2 Corinthians 7 in the SBIGS

2 Corinthians 7 in the SBIHS

2 Corinthians 7 in the SBIIS

2 Corinthians 7 in the SBIIS2

2 Corinthians 7 in the SBIIS3

2 Corinthians 7 in the SBIKS

2 Corinthians 7 in the SBIKS2

2 Corinthians 7 in the SBIMS

2 Corinthians 7 in the SBIOS

2 Corinthians 7 in the SBIPS

2 Corinthians 7 in the SBISS

2 Corinthians 7 in the SBITS

2 Corinthians 7 in the SBITS2

2 Corinthians 7 in the SBITS3

2 Corinthians 7 in the SBITS4

2 Corinthians 7 in the SBIUS

2 Corinthians 7 in the SBIVS

2 Corinthians 7 in the SBT

2 Corinthians 7 in the SBT1E

2 Corinthians 7 in the SCHL

2 Corinthians 7 in the SNT

2 Corinthians 7 in the SUSU

2 Corinthians 7 in the SUSU2

2 Corinthians 7 in the SYNO

2 Corinthians 7 in the TBIAOTANT

2 Corinthians 7 in the TBT1E

2 Corinthians 7 in the TBT1E2

2 Corinthians 7 in the TFTIP

2 Corinthians 7 in the TFTU

2 Corinthians 7 in the TGNTATF3T

2 Corinthians 7 in the THAI

2 Corinthians 7 in the TNFD

2 Corinthians 7 in the TNT

2 Corinthians 7 in the TNTIK

2 Corinthians 7 in the TNTIL

2 Corinthians 7 in the TNTIN

2 Corinthians 7 in the TNTIP

2 Corinthians 7 in the TNTIZ

2 Corinthians 7 in the TOMA

2 Corinthians 7 in the TTENT

2 Corinthians 7 in the UBG

2 Corinthians 7 in the UGV

2 Corinthians 7 in the UGV2

2 Corinthians 7 in the UGV3

2 Corinthians 7 in the VBL

2 Corinthians 7 in the VDCC

2 Corinthians 7 in the YALU

2 Corinthians 7 in the YAPE

2 Corinthians 7 in the YBVTP

2 Corinthians 7 in the ZBP