Deuteronomy 15 (BOKCV)

1 Kila mwisho wa miaka saba ni lazima mfute madeni. 2 Hivi ndivyo itakavyofanyika: Kila mkopeshaji atafuta mkopo aliomkopesha Mwisraeli mwenzake. Hatamtaka Mwisraeli mwenzake au ndugu yake amlipe hilo deni, kwa sababu wakati wa BWANA wa kufuta madeni umetangazwa. 3 Unaweza kudai malipo kwa mgeni, lakini lazima ufute kila deni ambalo unamdai ndugu yako. 4 Hata hivyo, hapatakuwepo maskini miongoni mwenu, kwa kuwa katika nchi BWANA Mungu wenu anayowapa kuimiliki kama urithi wenu, atawabariki sana, 5 ikiwa tutamtii BWANA Mungu wenu kikamilifu na kuwa waangalifu kuyafuata maagizo haya yote ninayowapa leo. 6 Kwa kuwa BWANA Mungu wenu atawabariki kama alivyoahidi, nanyi mtawakopesha mataifa mengi lakini hamtakopa kwa yeyote. Mtatawala mataifa mengi lakini hakuna taifa litakalowatawala ninyi. 7 Ikiwa kuna mtu maskini miongoni mwa ndugu zenu, katika mji wowote wa hiyo nchi ambayo BWANA Mungu wenu anawapa, msiwe na moyo mgumu wala usimfumbie mkono ndugu yako aliye maskini. 8 Afadhali fungua mikono yako na umkopeshe kwa hiari chochote anachohitaji. 9 Jihadhari usijiwekee wazo hili ovu: “Mwaka wa saba, mwaka wa kufuta madeni umekaribia,” usije ukaonyesha nia mbaya kwa ndugu yako mhitaji na ukaacha kumpa chochote. Anaweza kumlalamikia BWANA dhidi yako nawe utakuwa umepatikana na hatia ya dhambi. 10 Mpe kwa ukarimu na ufanye hivyo bila kinyongo moyoni, ndipo kwa sababu ya hili BWANA Mungu wenu atakubariki katika kazi zako zote na kwa kila kitu utakachokiwekea mkono wako. 11 Siku zote watakuwepo watu maskini katika nchi. Kwa hiyo ninawaamuru mwe na mikono iliyokunjuliwa kuwaelekea ndugu zenu, kuwaelekea maskini na wahitaji katika nchi yenu. 12 Kama Mwebrania mwenzako, mwanaume au mwanamke, akijiuza kwako na kukutumikia miaka sita, katika mwaka wa saba ni lazima umwache aende zake akiwa huru. 13 Nawe wakati utakapomwachia usimwache aende mikono mitupu. 14 Mpe kwa uhuru kutoka zizi lako la kondoo na mbuzi, kutoka sakafu yako ya kupuria nafaka na kutoka mashinikizo yako ya kukamulia divai. Mpe kama vile ambavyo BWANA Mungu wako alivyokubariki. 15 Kumbukeni kuwa ninyi mlikuwa watumwa huko Misri naye BWANA Mungu wenu aliwakomboa. Ndiyo sababu nimewapa agizo hili leo. 16 Lakini mtumishi wako akikuambia, “Sitaki kukuacha,” kwa sababu anakupenda wewe na jamaa yako naye anaridhika nawe, 17 ndipo utachukua chuma kidogo utoboe sikio lake mpaka hicho chuma kiingie kwenye ubao wa mlango, naye atakuwa mtumishi wako wa maisha. Ufanye vivyo hivyo kwa mtumishi wa kike. 18 Usifikiri kuwa kuna ugumu kumwacha mtumishi wako huru, kwa sababu utumishi wake kwako kwa miaka hii sita umekuwa wa thamani mara mbili ya ujira wa mtumishi wa kuajiriwa. Naye BWANA Mungu wenu atakubarikia kwa kila kitu utakachofanya. 19 Wekeni wakfu kwa BWANA Mungu wenu kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa makundi yenu ya ngʼombe na ya mbuzi na kondoo. Maksai walio wazaliwa wa kwanza msiwafanyize kazi, wala msinyoe manyoya ya wazaliwa wa kwanza wa kondoo. 20 Kila mwaka ninyi na jamaa zenu mtapaswa kuwala mbele za BWANA Mungu wenu pale mahali atakapopachagua. 21 Kama mnyama ana dosari, akiwa ni kilema au kipofu au kama ana kilema kibaya, kamwe usimtoe dhabihu kwa BWANA Mungu wenu. 22 Itawapasa kumla ninyi wenyewe katika miji yenu. Wote wasio safi na walio safi kwa desturi za kiibada mwaweza kula kama vile mnavyokula paa au kulungu. 23 Lakini kamwe msinywe damu; imwageni ardhini kama maji.

In Other Versions

Deuteronomy 15 in the ANGEFD

Deuteronomy 15 in the ANTPNG2D

Deuteronomy 15 in the AS21

Deuteronomy 15 in the BAGH

Deuteronomy 15 in the BBPNG

Deuteronomy 15 in the BBT1E

Deuteronomy 15 in the BDS

Deuteronomy 15 in the BEV

Deuteronomy 15 in the BHAD

Deuteronomy 15 in the BIB

Deuteronomy 15 in the BLPT

Deuteronomy 15 in the BNT

Deuteronomy 15 in the BNTABOOT

Deuteronomy 15 in the BNTLV

Deuteronomy 15 in the BOATCB

Deuteronomy 15 in the BOATCB2

Deuteronomy 15 in the BOBCV

Deuteronomy 15 in the BOCNT

Deuteronomy 15 in the BOECS

Deuteronomy 15 in the BOGWICC

Deuteronomy 15 in the BOHCB

Deuteronomy 15 in the BOHCV

Deuteronomy 15 in the BOHLNT

Deuteronomy 15 in the BOHNTLTAL

Deuteronomy 15 in the BOICB

Deuteronomy 15 in the BOILNTAP

Deuteronomy 15 in the BOITCV

Deuteronomy 15 in the BOKCV2

Deuteronomy 15 in the BOKHWOG

Deuteronomy 15 in the BOKSSV

Deuteronomy 15 in the BOLCB

Deuteronomy 15 in the BOLCB2

Deuteronomy 15 in the BOMCV

Deuteronomy 15 in the BONAV

Deuteronomy 15 in the BONCB

Deuteronomy 15 in the BONLT

Deuteronomy 15 in the BONUT2

Deuteronomy 15 in the BOPLNT

Deuteronomy 15 in the BOSCB

Deuteronomy 15 in the BOSNC

Deuteronomy 15 in the BOTLNT

Deuteronomy 15 in the BOVCB

Deuteronomy 15 in the BOYCB

Deuteronomy 15 in the BPBB

Deuteronomy 15 in the BPH

Deuteronomy 15 in the BSB

Deuteronomy 15 in the CCB

Deuteronomy 15 in the CUV

Deuteronomy 15 in the CUVS

Deuteronomy 15 in the DBT

Deuteronomy 15 in the DGDNT

Deuteronomy 15 in the DHNT

Deuteronomy 15 in the DNT

Deuteronomy 15 in the ELBE

Deuteronomy 15 in the EMTV

Deuteronomy 15 in the ESV

Deuteronomy 15 in the FBV

Deuteronomy 15 in the FEB

Deuteronomy 15 in the GGMNT

Deuteronomy 15 in the GNT

Deuteronomy 15 in the HARY

Deuteronomy 15 in the HNT

Deuteronomy 15 in the IRVA

Deuteronomy 15 in the IRVB

Deuteronomy 15 in the IRVG

Deuteronomy 15 in the IRVH

Deuteronomy 15 in the IRVK

Deuteronomy 15 in the IRVM

Deuteronomy 15 in the IRVM2

Deuteronomy 15 in the IRVO

Deuteronomy 15 in the IRVP

Deuteronomy 15 in the IRVT

Deuteronomy 15 in the IRVT2

Deuteronomy 15 in the IRVU

Deuteronomy 15 in the ISVN

Deuteronomy 15 in the JSNT

Deuteronomy 15 in the KAPI

Deuteronomy 15 in the KBT1ETNIK

Deuteronomy 15 in the KBV

Deuteronomy 15 in the KJV

Deuteronomy 15 in the KNFD

Deuteronomy 15 in the LBA

Deuteronomy 15 in the LBLA

Deuteronomy 15 in the LNT

Deuteronomy 15 in the LSV

Deuteronomy 15 in the MAAL

Deuteronomy 15 in the MBV

Deuteronomy 15 in the MBV2

Deuteronomy 15 in the MHNT

Deuteronomy 15 in the MKNFD

Deuteronomy 15 in the MNG

Deuteronomy 15 in the MNT

Deuteronomy 15 in the MNT2

Deuteronomy 15 in the MRS1T

Deuteronomy 15 in the NAA

Deuteronomy 15 in the NASB

Deuteronomy 15 in the NBLA

Deuteronomy 15 in the NBS

Deuteronomy 15 in the NBVTP

Deuteronomy 15 in the NET2

Deuteronomy 15 in the NIV11

Deuteronomy 15 in the NNT

Deuteronomy 15 in the NNT2

Deuteronomy 15 in the NNT3

Deuteronomy 15 in the PDDPT

Deuteronomy 15 in the PFNT

Deuteronomy 15 in the RMNT

Deuteronomy 15 in the SBIAS

Deuteronomy 15 in the SBIBS

Deuteronomy 15 in the SBIBS2

Deuteronomy 15 in the SBICS

Deuteronomy 15 in the SBIDS

Deuteronomy 15 in the SBIGS

Deuteronomy 15 in the SBIHS

Deuteronomy 15 in the SBIIS

Deuteronomy 15 in the SBIIS2

Deuteronomy 15 in the SBIIS3

Deuteronomy 15 in the SBIKS

Deuteronomy 15 in the SBIKS2

Deuteronomy 15 in the SBIMS

Deuteronomy 15 in the SBIOS

Deuteronomy 15 in the SBIPS

Deuteronomy 15 in the SBISS

Deuteronomy 15 in the SBITS

Deuteronomy 15 in the SBITS2

Deuteronomy 15 in the SBITS3

Deuteronomy 15 in the SBITS4

Deuteronomy 15 in the SBIUS

Deuteronomy 15 in the SBIVS

Deuteronomy 15 in the SBT

Deuteronomy 15 in the SBT1E

Deuteronomy 15 in the SCHL

Deuteronomy 15 in the SNT

Deuteronomy 15 in the SUSU

Deuteronomy 15 in the SUSU2

Deuteronomy 15 in the SYNO

Deuteronomy 15 in the TBIAOTANT

Deuteronomy 15 in the TBT1E

Deuteronomy 15 in the TBT1E2

Deuteronomy 15 in the TFTIP

Deuteronomy 15 in the TFTU

Deuteronomy 15 in the TGNTATF3T

Deuteronomy 15 in the THAI

Deuteronomy 15 in the TNFD

Deuteronomy 15 in the TNT

Deuteronomy 15 in the TNTIK

Deuteronomy 15 in the TNTIL

Deuteronomy 15 in the TNTIN

Deuteronomy 15 in the TNTIP

Deuteronomy 15 in the TNTIZ

Deuteronomy 15 in the TOMA

Deuteronomy 15 in the TTENT

Deuteronomy 15 in the UBG

Deuteronomy 15 in the UGV

Deuteronomy 15 in the UGV2

Deuteronomy 15 in the UGV3

Deuteronomy 15 in the VBL

Deuteronomy 15 in the VDCC

Deuteronomy 15 in the YALU

Deuteronomy 15 in the YAPE

Deuteronomy 15 in the YBVTP

Deuteronomy 15 in the ZBP