Jeremiah 12 (BOKCV)

1 Wewe daima u mwenye haki, Ee BWANA,niletapo mashtaka mbele yako.Hata hivyo nitazungumza nawe kuhusu hukumu yako:Kwa nini njia ya waovu inafanikiwa?Kwa nini wasio waaminifuwote wanaishi kwa raha? 2 Umewapanda, nao wameota,wanakua na kuzaa matunda.Daima u midomoni mwao,lakini mbali na mioyo yao. 3 Hata hivyo unanijua mimi, Ee BWANA;unaniona na kuyachunguza mawazo yangu kukuhusu wewe.Wakokote kama kondoo wanaokwenda kuchinjwa!Watenge kwa ajili ya siku ya kuchinjwa! 4 Je, nchi itakaa katika hali ya kuomboleza mpaka lini,na majani katika kila shamba kunyauka?Kwa sababu wale waishio ndani yake ni waovu,wanyama na ndege wameangamia.Zaidi ya hayo, watu wanasema,“BWANA hataona yatakayotupata sisi.” 5 “Ikiwa umeshindana mbio na watu kwa mguu na wakakushinda,unawezaje kushindana na farasi?Ikiwa unajikwaa kwenye nchi ambayo ni salama,utawezaje kwenye vichaka kando ya Yordani? 6 Ndugu zako, watu wa jamaa yako mwenyewe:hata wao wamekusaliti;wameinua kilio kikubwa dhidi yako.Usiwaamini, ingawa wanazungumzamema juu yako. 7 “Nitaiacha nyumba yangu,nitupe urithi wangu;nitamtia yeye nimpendayemikononi mwa adui zake. 8 Urithi wangu umekuwa kwangukama simba wa msituni.Huningurumia mimi,kwa hiyo ninamchukia. 9 Je, urithi wangu haukuwakama ndege wa mawindo wa madoadoaambaye ndege wengine wawindaohumzunguka na kumshambulia?Nenda ukawakusanye pamoja wanyama wote wa mwituni;walete ili wale. 10 Wachungaji wengi wataliharibu shamba langu la mizabibuna kulikanyaga shamba langu;watalifanya shamba langu zurikuwa jangwa la ukiwa. 11 Litafanywa kuwa jangwa,lililokauka na kuachwa ukiwa mbele zangu;nchi yote itafanywa jangwakwa sababu hakuna hata mmoja anayejali. 12 Juu ya miinuko yote ilivyo kama jangwanimharabu atajaa,kwa maana upanga wa BWANA utawala,kuanzia ncha moja ya nchi hadi nyingine;hakuna hata mmoja atakayekuwa salama. 13 Watapanda ngano lakini watavuna miiba;watajitaabisha lakini hawatafaidi chochote.Kwa hiyo beba aibu ya mavuno yakokwa sababu ya hasira kali ya BWANA Mungu.” 14 Hili ndilo asemalo BWANA: “Kwa habari ya majirani zangu wote wabaya wanaonyangʼanya urithi ambao ninawapa watu wangu Israeli, nitawangʼoa kutoka nchi zao, nami nitaingʼoa nyumba ya Yuda kutoka katikati yao. 15 Lakini baada ya kuwangʼoa, nitawahurumia tena na kumrudisha kila mmoja wao kwenye urithi wake mwenyewe na kwenye nchi yake mwenyewe. 16 Ikiwa watajifunza vyema njia za watu wangu na kuapa kwa Jina langu, wakisema, ‘Hakika kama BWANA aishivyo,’ hata kama wakati fulani walifundisha watu wangu kuapa kwa Baali, ndipo watakapofanywa imara katikati ya watu wangu. 17 Lakini kama taifa lolote halitasikiliza na kutii, nitalingʼoa kabisa na kuliangamiza,” asema BWANA.

In Other Versions

Jeremiah 12 in the ANGEFD

Jeremiah 12 in the ANTPNG2D

Jeremiah 12 in the AS21

Jeremiah 12 in the BAGH

Jeremiah 12 in the BBPNG

Jeremiah 12 in the BBT1E

Jeremiah 12 in the BDS

Jeremiah 12 in the BEV

Jeremiah 12 in the BHAD

Jeremiah 12 in the BIB

Jeremiah 12 in the BLPT

Jeremiah 12 in the BNT

Jeremiah 12 in the BNTABOOT

Jeremiah 12 in the BNTLV

Jeremiah 12 in the BOATCB

Jeremiah 12 in the BOATCB2

Jeremiah 12 in the BOBCV

Jeremiah 12 in the BOCNT

Jeremiah 12 in the BOECS

Jeremiah 12 in the BOGWICC

Jeremiah 12 in the BOHCB

Jeremiah 12 in the BOHCV

Jeremiah 12 in the BOHLNT

Jeremiah 12 in the BOHNTLTAL

Jeremiah 12 in the BOICB

Jeremiah 12 in the BOILNTAP

Jeremiah 12 in the BOITCV

Jeremiah 12 in the BOKCV2

Jeremiah 12 in the BOKHWOG

Jeremiah 12 in the BOKSSV

Jeremiah 12 in the BOLCB

Jeremiah 12 in the BOLCB2

Jeremiah 12 in the BOMCV

Jeremiah 12 in the BONAV

Jeremiah 12 in the BONCB

Jeremiah 12 in the BONLT

Jeremiah 12 in the BONUT2

Jeremiah 12 in the BOPLNT

Jeremiah 12 in the BOSCB

Jeremiah 12 in the BOSNC

Jeremiah 12 in the BOTLNT

Jeremiah 12 in the BOVCB

Jeremiah 12 in the BOYCB

Jeremiah 12 in the BPBB

Jeremiah 12 in the BPH

Jeremiah 12 in the BSB

Jeremiah 12 in the CCB

Jeremiah 12 in the CUV

Jeremiah 12 in the CUVS

Jeremiah 12 in the DBT

Jeremiah 12 in the DGDNT

Jeremiah 12 in the DHNT

Jeremiah 12 in the DNT

Jeremiah 12 in the ELBE

Jeremiah 12 in the EMTV

Jeremiah 12 in the ESV

Jeremiah 12 in the FBV

Jeremiah 12 in the FEB

Jeremiah 12 in the GGMNT

Jeremiah 12 in the GNT

Jeremiah 12 in the HARY

Jeremiah 12 in the HNT

Jeremiah 12 in the IRVA

Jeremiah 12 in the IRVB

Jeremiah 12 in the IRVG

Jeremiah 12 in the IRVH

Jeremiah 12 in the IRVK

Jeremiah 12 in the IRVM

Jeremiah 12 in the IRVM2

Jeremiah 12 in the IRVO

Jeremiah 12 in the IRVP

Jeremiah 12 in the IRVT

Jeremiah 12 in the IRVT2

Jeremiah 12 in the IRVU

Jeremiah 12 in the ISVN

Jeremiah 12 in the JSNT

Jeremiah 12 in the KAPI

Jeremiah 12 in the KBT1ETNIK

Jeremiah 12 in the KBV

Jeremiah 12 in the KJV

Jeremiah 12 in the KNFD

Jeremiah 12 in the LBA

Jeremiah 12 in the LBLA

Jeremiah 12 in the LNT

Jeremiah 12 in the LSV

Jeremiah 12 in the MAAL

Jeremiah 12 in the MBV

Jeremiah 12 in the MBV2

Jeremiah 12 in the MHNT

Jeremiah 12 in the MKNFD

Jeremiah 12 in the MNG

Jeremiah 12 in the MNT

Jeremiah 12 in the MNT2

Jeremiah 12 in the MRS1T

Jeremiah 12 in the NAA

Jeremiah 12 in the NASB

Jeremiah 12 in the NBLA

Jeremiah 12 in the NBS

Jeremiah 12 in the NBVTP

Jeremiah 12 in the NET2

Jeremiah 12 in the NIV11

Jeremiah 12 in the NNT

Jeremiah 12 in the NNT2

Jeremiah 12 in the NNT3

Jeremiah 12 in the PDDPT

Jeremiah 12 in the PFNT

Jeremiah 12 in the RMNT

Jeremiah 12 in the SBIAS

Jeremiah 12 in the SBIBS

Jeremiah 12 in the SBIBS2

Jeremiah 12 in the SBICS

Jeremiah 12 in the SBIDS

Jeremiah 12 in the SBIGS

Jeremiah 12 in the SBIHS

Jeremiah 12 in the SBIIS

Jeremiah 12 in the SBIIS2

Jeremiah 12 in the SBIIS3

Jeremiah 12 in the SBIKS

Jeremiah 12 in the SBIKS2

Jeremiah 12 in the SBIMS

Jeremiah 12 in the SBIOS

Jeremiah 12 in the SBIPS

Jeremiah 12 in the SBISS

Jeremiah 12 in the SBITS

Jeremiah 12 in the SBITS2

Jeremiah 12 in the SBITS3

Jeremiah 12 in the SBITS4

Jeremiah 12 in the SBIUS

Jeremiah 12 in the SBIVS

Jeremiah 12 in the SBT

Jeremiah 12 in the SBT1E

Jeremiah 12 in the SCHL

Jeremiah 12 in the SNT

Jeremiah 12 in the SUSU

Jeremiah 12 in the SUSU2

Jeremiah 12 in the SYNO

Jeremiah 12 in the TBIAOTANT

Jeremiah 12 in the TBT1E

Jeremiah 12 in the TBT1E2

Jeremiah 12 in the TFTIP

Jeremiah 12 in the TFTU

Jeremiah 12 in the TGNTATF3T

Jeremiah 12 in the THAI

Jeremiah 12 in the TNFD

Jeremiah 12 in the TNT

Jeremiah 12 in the TNTIK

Jeremiah 12 in the TNTIL

Jeremiah 12 in the TNTIN

Jeremiah 12 in the TNTIP

Jeremiah 12 in the TNTIZ

Jeremiah 12 in the TOMA

Jeremiah 12 in the TTENT

Jeremiah 12 in the UBG

Jeremiah 12 in the UGV

Jeremiah 12 in the UGV2

Jeremiah 12 in the UGV3

Jeremiah 12 in the VBL

Jeremiah 12 in the VDCC

Jeremiah 12 in the YALU

Jeremiah 12 in the YAPE

Jeremiah 12 in the YBVTP

Jeremiah 12 in the ZBP