Jeremiah 14 (BOKCV)

1 Hili ndilo neno la BWANA kwa Yeremia kuhusu ukame: 2 “Yuda anaomboleza,miji yake inayodhoofika;wanaomboleza kwa ajili ya nchi,nacho kilio kinapanda kutoka Yerusalemu. 3 Wakuu wanawatuma watumishi wao maji;wanakwenda visimanilakini humo hakuna maji.Wanarudi na vyombo bila maji;wakiwa na hofu na kukata tamaa,wanafunika vichwa vyao. 4 Ardhi imepasuka nyufakwa sababu hakuna mvua katika nchi;wakulima wana hofuna wanafunika vichwa vyao. 5 Hata kulungu mashambanianamwacha mtoto wake aliyezaliwa wakati huo huokwa sababu hakuna majani. 6 Punda-mwitu wanasimama juu ya miinuko iliyo kamena kutweta kama mbweha;macho yao yanakosa nguvu za kuonakwa ajili ya kukosa malisho.” 7 Ingawa dhambi zetu zinashuhudia juu yetu,Ee BWANA, tenda jambo kwa ajili ya jina lako.Kwa kuwa kukengeuka kwetu ni kukubwa,nasi tumetenda dhambi dhidi yako. 8 Ee Tumaini la Israeli,Mwokozi wake wakati wa taabu,kwa nini unakuwa kama mgeni katika nchi,kama msafiri anayekaa kwa usiku mmoja tu? 9 Mbona unakuwa kama mtu aliyeshtukizwa,kama shujaa asiye na uwezo wa kuokoa?Wewe uko katikati yetu, Ee BWANA,nasi tunaitwa kwa jina lako;usituache! 10 Hili ndilo BWANA asemalo kuhusu watu hawa:“Wanapenda sana kutangatanga,hawaizuii miguu yao.Hivyo BWANA hawakubali;sasa ataukumbuka uovu waona kuwaadhibu kwa ajili ya dhambi zao.” 11 Kisha BWANA akaniambia, “Usiombe kwa ajili ya mafanikio ya watu hawa. 12 Ingawa wanafunga, sitasikiliza kilio chao; hata wakitoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za nafaka, sitazikubali. Badala yake, nitawaangamiza kwa upanga, njaa na tauni.” 13 Lakini nikasema, “Aa, BWANA Mwenyezi, manabii wanaendelea kuwaambia, ‘Hamtaona upanga wala kukabiliwa na njaa. Naam, nitawapa amani ya kudumu mahali hapa.’ ” 14 Ndipo BWANA akaniambia, “Manabii wanatabiri uongo kwa jina langu. Sikuwatuma, wala sikuwaweka, wala sikusema nao. Wanawatabiria maono ya uongo, maaguzi, maono ya sanamu zisizofaa kitu, na madanganyo ya mawazo yao wenyewe. 15 Kwa hiyo, hili ndilo BWANA asemalo kuhusu manabii wanaotabiri kwa jina langu: Mimi sikuwatuma, lakini wanasema, ‘Hakuna upanga wala njaa itakayoigusa nchi hii.’ Manabii hao hao watakufa kwa upanga na njaa. 16 Nao watu hao wanaowatabiria watatupwa nje katika barabara za Yerusalemu kwa sababu ya njaa na upanga. Hapatakuwepo yeyote wa kuwazika wao au wake zao, wana wao au binti zao. Nitawamwagia maafa wanayostahili. 17 “Nena nao neno hili:“ ‘Macho yangu na yatiririkwe na machoziusiku na mchana bila kukoma;kwa kuwa binti yangu aliye bikira, yaani watu wangu,amepata jeraha baya,pigo la kuangamiza. 18 Kama nikienda mashambani,ninaona wale waliouawa kwa upanga;kama nikienda mjini,ninaona maangamizi ya njaa.Nabii na kuhani kwa pamojawamekwenda katika nchi wasiyoijua.’ ” 19 Je, umemkataa Yuda kabisa?Umemchukia Sayuni kabisa?Kwa nini umetuumizahata hatuwezi kuponyeka?Tulitarajia amani,lakini hakuna jema lililotujia;tulitarajia wakati wa kuponalakini kuna hofu kuu tu. 20 Ee BWANA, tunatambua uovu wetuna kosa la baba zetu;kweli tumetenda dhambi dhidi yako. 21 Kwa ajili ya jina lako usituchukie kabisa;usikidharau kiti chako cha enzi kilichotukuka.Kumbuka agano lako nasina usilivunje. 22 Je, kuna sanamu yoyote isiyofaa kitu ya mataifaiwezayo kuleta mvua?Je, anga peke yake zaweza kutoa mvua?La hasha, ni wewe peke yako,Ee BWANA, Mungu wetu.Kwa hiyo tumaini letu liko kwako,kwa kuwa wewe ndiwe ufanyaye haya yote.

In Other Versions

Jeremiah 14 in the ANGEFD

Jeremiah 14 in the ANTPNG2D

Jeremiah 14 in the AS21

Jeremiah 14 in the BAGH

Jeremiah 14 in the BBPNG

Jeremiah 14 in the BBT1E

Jeremiah 14 in the BDS

Jeremiah 14 in the BEV

Jeremiah 14 in the BHAD

Jeremiah 14 in the BIB

Jeremiah 14 in the BLPT

Jeremiah 14 in the BNT

Jeremiah 14 in the BNTABOOT

Jeremiah 14 in the BNTLV

Jeremiah 14 in the BOATCB

Jeremiah 14 in the BOATCB2

Jeremiah 14 in the BOBCV

Jeremiah 14 in the BOCNT

Jeremiah 14 in the BOECS

Jeremiah 14 in the BOGWICC

Jeremiah 14 in the BOHCB

Jeremiah 14 in the BOHCV

Jeremiah 14 in the BOHLNT

Jeremiah 14 in the BOHNTLTAL

Jeremiah 14 in the BOICB

Jeremiah 14 in the BOILNTAP

Jeremiah 14 in the BOITCV

Jeremiah 14 in the BOKCV2

Jeremiah 14 in the BOKHWOG

Jeremiah 14 in the BOKSSV

Jeremiah 14 in the BOLCB

Jeremiah 14 in the BOLCB2

Jeremiah 14 in the BOMCV

Jeremiah 14 in the BONAV

Jeremiah 14 in the BONCB

Jeremiah 14 in the BONLT

Jeremiah 14 in the BONUT2

Jeremiah 14 in the BOPLNT

Jeremiah 14 in the BOSCB

Jeremiah 14 in the BOSNC

Jeremiah 14 in the BOTLNT

Jeremiah 14 in the BOVCB

Jeremiah 14 in the BOYCB

Jeremiah 14 in the BPBB

Jeremiah 14 in the BPH

Jeremiah 14 in the BSB

Jeremiah 14 in the CCB

Jeremiah 14 in the CUV

Jeremiah 14 in the CUVS

Jeremiah 14 in the DBT

Jeremiah 14 in the DGDNT

Jeremiah 14 in the DHNT

Jeremiah 14 in the DNT

Jeremiah 14 in the ELBE

Jeremiah 14 in the EMTV

Jeremiah 14 in the ESV

Jeremiah 14 in the FBV

Jeremiah 14 in the FEB

Jeremiah 14 in the GGMNT

Jeremiah 14 in the GNT

Jeremiah 14 in the HARY

Jeremiah 14 in the HNT

Jeremiah 14 in the IRVA

Jeremiah 14 in the IRVB

Jeremiah 14 in the IRVG

Jeremiah 14 in the IRVH

Jeremiah 14 in the IRVK

Jeremiah 14 in the IRVM

Jeremiah 14 in the IRVM2

Jeremiah 14 in the IRVO

Jeremiah 14 in the IRVP

Jeremiah 14 in the IRVT

Jeremiah 14 in the IRVT2

Jeremiah 14 in the IRVU

Jeremiah 14 in the ISVN

Jeremiah 14 in the JSNT

Jeremiah 14 in the KAPI

Jeremiah 14 in the KBT1ETNIK

Jeremiah 14 in the KBV

Jeremiah 14 in the KJV

Jeremiah 14 in the KNFD

Jeremiah 14 in the LBA

Jeremiah 14 in the LBLA

Jeremiah 14 in the LNT

Jeremiah 14 in the LSV

Jeremiah 14 in the MAAL

Jeremiah 14 in the MBV

Jeremiah 14 in the MBV2

Jeremiah 14 in the MHNT

Jeremiah 14 in the MKNFD

Jeremiah 14 in the MNG

Jeremiah 14 in the MNT

Jeremiah 14 in the MNT2

Jeremiah 14 in the MRS1T

Jeremiah 14 in the NAA

Jeremiah 14 in the NASB

Jeremiah 14 in the NBLA

Jeremiah 14 in the NBS

Jeremiah 14 in the NBVTP

Jeremiah 14 in the NET2

Jeremiah 14 in the NIV11

Jeremiah 14 in the NNT

Jeremiah 14 in the NNT2

Jeremiah 14 in the NNT3

Jeremiah 14 in the PDDPT

Jeremiah 14 in the PFNT

Jeremiah 14 in the RMNT

Jeremiah 14 in the SBIAS

Jeremiah 14 in the SBIBS

Jeremiah 14 in the SBIBS2

Jeremiah 14 in the SBICS

Jeremiah 14 in the SBIDS

Jeremiah 14 in the SBIGS

Jeremiah 14 in the SBIHS

Jeremiah 14 in the SBIIS

Jeremiah 14 in the SBIIS2

Jeremiah 14 in the SBIIS3

Jeremiah 14 in the SBIKS

Jeremiah 14 in the SBIKS2

Jeremiah 14 in the SBIMS

Jeremiah 14 in the SBIOS

Jeremiah 14 in the SBIPS

Jeremiah 14 in the SBISS

Jeremiah 14 in the SBITS

Jeremiah 14 in the SBITS2

Jeremiah 14 in the SBITS3

Jeremiah 14 in the SBITS4

Jeremiah 14 in the SBIUS

Jeremiah 14 in the SBIVS

Jeremiah 14 in the SBT

Jeremiah 14 in the SBT1E

Jeremiah 14 in the SCHL

Jeremiah 14 in the SNT

Jeremiah 14 in the SUSU

Jeremiah 14 in the SUSU2

Jeremiah 14 in the SYNO

Jeremiah 14 in the TBIAOTANT

Jeremiah 14 in the TBT1E

Jeremiah 14 in the TBT1E2

Jeremiah 14 in the TFTIP

Jeremiah 14 in the TFTU

Jeremiah 14 in the TGNTATF3T

Jeremiah 14 in the THAI

Jeremiah 14 in the TNFD

Jeremiah 14 in the TNT

Jeremiah 14 in the TNTIK

Jeremiah 14 in the TNTIL

Jeremiah 14 in the TNTIN

Jeremiah 14 in the TNTIP

Jeremiah 14 in the TNTIZ

Jeremiah 14 in the TOMA

Jeremiah 14 in the TTENT

Jeremiah 14 in the UBG

Jeremiah 14 in the UGV

Jeremiah 14 in the UGV2

Jeremiah 14 in the UGV3

Jeremiah 14 in the VBL

Jeremiah 14 in the VDCC

Jeremiah 14 in the YALU

Jeremiah 14 in the YAPE

Jeremiah 14 in the YBVTP

Jeremiah 14 in the ZBP