Romans 16 (BOKCV)
1 Napenda kumtambulisha kwenu dada yetu Foibe, mtumishi katika kanisa la Kenkrea. 2 Naomba mpokeeni katika Bwana ipasavyo watakatifu na kumpa msaada wowote atakaohitaji kutoka kwenu, kwa maana yeye amekuwa msaada kwa watu wengi, mimi nikiwa miongoni mwao. 3 Wasalimuni Prisila na Akila, watumishi wenzangu katika Kristo Yesu. 4 Wao walihatarisha maisha yao kwa ajili yangu; wala si mimi tu ninayewashukuru bali pia makanisa yote ya watu wa Mataifa. 5 Lisalimuni pia kanisa linalokutana nyumbani mwao.Msalimuni rafiki yangu mpendwa Epaineto, aliyekuwa mtu wa kwanza kumwamini Kristo huko Asia. 6 Msalimuni Maria, aliyefanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu. 7 Wasalimuni Androniko na Yunia, jamaa zangu ambao wamekuwa gerezani pamoja nami. Wao ni maarufu miongoni mwa mitume, nao walikuwa katika Kristo kabla yangu. 8 Msalimuni Ampliato, yeye nimpendaye katika Bwana. 9 Msalimuni Urbano, mtendakazi mwenzetu katika Kristo, pamoja na rafiki yangu mpendwa Stakisi. 10 Msalimuni Apele aliyejaribiwa na akaithibitisha imani yake katika Kristo.Wasalimuni wote walio nyumbani mwa Aristobulo. 11 Msalimuni ndugu yangu Herodioni.Wasalimuni wote walio nyumbani mwa Narkisi walio katika Bwana. 12 Wasalimuni Trifaina na Trifosa, wale wanawake wanaofanya kazi kwa bidii katika Bwana.Msalimuni rafiki yangu mpendwa Persisi, mwanamke mwingine aliyefanya kazi kwa bidii katika Bwana. 13 Msalimuni Rufo, mteule katika Bwana, pamoja na mama yake, ambaye amekuwa mama kwangu pia. 14 Wasalimuni Asinkrito, Flegoni, Herme, Patroba, Herma na ndugu wote walio pamoja nao. 15 Wasalimuni Filologo, Yulia, Nerea na dada yake, na Olimpa na watakatifu wote walio pamoja nao. 16 Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa busu takatifu.Makanisa yote ya Kristo yanawasalimu. 17 Ndugu zangu, nawasihi mjihadhari na kujiepusha na wale watu waletao matengano na kuweka vikwazo mbele yenu dhidi ya mafundisho mliyojifunza. 18 Kwa maana watu kama hao hawamtumikii Bwana Kristo, bali wanatumikia tamaa zao wenyewe. Kwa kutumia maneno laini na ya kubembeleza, hupotosha mioyo ya watu wajinga. 19 Kila mtu amesikia juu ya utii wenu, nami nimejawa na furaha tele kwa ajili yenu. Lakini nataka mwe na hekima katika mambo mema na bila hatia katika mambo maovu. 20 Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi.Neema ya Bwana wetu Yesu iwe nanyi. Amen. 21 Timotheo, mtendakazi mwenzangu anawasalimu. Vivyo hivyo Lukio, Yasoni, na Sosipatro, ndugu zangu. 22 Mimi, Tertio, niliye mwandishi wa waraka huu, nawasalimu katika Bwana. 23 Gayo, ambaye ni mwenyeji wangu na wa kanisa lote, anawasalimu.Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto ndugu yetu pia wanawasalimu.[ 24 Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi nyote. Amen.] 25 Sasa atukuzwe yeye awezaye kuwafanya ninyi imara kwa Injili yangu na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kutokana na kufunuliwa siri zilizofichika tangu zamani za kale. 26 Lakini sasa siri hiyo imefunuliwa na kujulikana kupitia maandiko ya kinabii kutokana na amri ya Mungu wa milele, ili mataifa yote yaweze kumwamini na kumtii 27 Mungu aliye pekee, mwenye hekima, ambaye kwa njia ya Yesu Kristo utukufu ni wake milele na milele! Amen.
In Other Versions
Romans 16 in the ANGEFD
Romans 16 in the ANTPNG2D
Romans 16 in the AS21
Romans 16 in the BAGH
Romans 16 in the BBPNG
Romans 16 in the BBT1E
Romans 16 in the BDS
Romans 16 in the BEV
Romans 16 in the BHAD
Romans 16 in the BIB
Romans 16 in the BLPT
Romans 16 in the BNT
Romans 16 in the BNTABOOT
Romans 16 in the BNTLV
Romans 16 in the BOATCB
Romans 16 in the BOATCB2
Romans 16 in the BOBCV
Romans 16 in the BOCNT
Romans 16 in the BOECS
Romans 16 in the BOGWICC
Romans 16 in the BOHCB
Romans 16 in the BOHCV
Romans 16 in the BOHLNT
Romans 16 in the BOHNTLTAL
Romans 16 in the BOICB
Romans 16 in the BOILNTAP
Romans 16 in the BOITCV
Romans 16 in the BOKCV2
Romans 16 in the BOKHWOG
Romans 16 in the BOKSSV
Romans 16 in the BOLCB
Romans 16 in the BOLCB2
Romans 16 in the BOMCV
Romans 16 in the BONAV
Romans 16 in the BONCB
Romans 16 in the BONLT
Romans 16 in the BONUT2
Romans 16 in the BOPLNT
Romans 16 in the BOSCB
Romans 16 in the BOSNC
Romans 16 in the BOTLNT
Romans 16 in the BOVCB
Romans 16 in the BOYCB
Romans 16 in the BPBB
Romans 16 in the BPH
Romans 16 in the BSB
Romans 16 in the CCB
Romans 16 in the CUV
Romans 16 in the CUVS
Romans 16 in the DBT
Romans 16 in the DGDNT
Romans 16 in the DHNT
Romans 16 in the DNT
Romans 16 in the ELBE
Romans 16 in the EMTV
Romans 16 in the ESV
Romans 16 in the FBV
Romans 16 in the FEB
Romans 16 in the GGMNT
Romans 16 in the GNT
Romans 16 in the HARY
Romans 16 in the HNT
Romans 16 in the IRVA
Romans 16 in the IRVB
Romans 16 in the IRVG
Romans 16 in the IRVH
Romans 16 in the IRVK
Romans 16 in the IRVM
Romans 16 in the IRVM2
Romans 16 in the IRVO
Romans 16 in the IRVP
Romans 16 in the IRVT
Romans 16 in the IRVT2
Romans 16 in the IRVU
Romans 16 in the ISVN
Romans 16 in the JSNT
Romans 16 in the KAPI
Romans 16 in the KBT1ETNIK
Romans 16 in the KBV
Romans 16 in the KJV
Romans 16 in the KNFD
Romans 16 in the LBA
Romans 16 in the LBLA
Romans 16 in the LNT
Romans 16 in the LSV
Romans 16 in the MAAL
Romans 16 in the MBV
Romans 16 in the MBV2
Romans 16 in the MHNT
Romans 16 in the MKNFD
Romans 16 in the MNG
Romans 16 in the MNT
Romans 16 in the MNT2
Romans 16 in the MRS1T
Romans 16 in the NAA
Romans 16 in the NASB
Romans 16 in the NBLA
Romans 16 in the NBS
Romans 16 in the NBVTP
Romans 16 in the NET2
Romans 16 in the NIV11
Romans 16 in the NNT
Romans 16 in the NNT2
Romans 16 in the NNT3
Romans 16 in the PDDPT
Romans 16 in the PFNT
Romans 16 in the RMNT
Romans 16 in the SBIAS
Romans 16 in the SBIBS
Romans 16 in the SBIBS2
Romans 16 in the SBICS
Romans 16 in the SBIDS
Romans 16 in the SBIGS
Romans 16 in the SBIHS
Romans 16 in the SBIIS
Romans 16 in the SBIIS2
Romans 16 in the SBIIS3
Romans 16 in the SBIKS
Romans 16 in the SBIKS2
Romans 16 in the SBIMS
Romans 16 in the SBIOS
Romans 16 in the SBIPS
Romans 16 in the SBISS
Romans 16 in the SBITS
Romans 16 in the SBITS2
Romans 16 in the SBITS3
Romans 16 in the SBITS4
Romans 16 in the SBIUS
Romans 16 in the SBIVS
Romans 16 in the SBT
Romans 16 in the SBT1E
Romans 16 in the SCHL
Romans 16 in the SNT
Romans 16 in the SUSU
Romans 16 in the SUSU2
Romans 16 in the SYNO
Romans 16 in the TBIAOTANT
Romans 16 in the TBT1E
Romans 16 in the TBT1E2
Romans 16 in the TFTIP
Romans 16 in the TFTU
Romans 16 in the TGNTATF3T
Romans 16 in the THAI
Romans 16 in the TNFD
Romans 16 in the TNT
Romans 16 in the TNTIK
Romans 16 in the TNTIL
Romans 16 in the TNTIN
Romans 16 in the TNTIP
Romans 16 in the TNTIZ
Romans 16 in the TOMA
Romans 16 in the TTENT
Romans 16 in the UBG
Romans 16 in the UGV
Romans 16 in the UGV2
Romans 16 in the UGV3
Romans 16 in the VBL
Romans 16 in the VDCC
Romans 16 in the YALU
Romans 16 in the YAPE
Romans 16 in the YBVTP
Romans 16 in the ZBP