Judges 5 (BOKCV)

1 Ndipo Debora na Baraka mwana wa Abinoamu wakaimba wimbo huu: 2 “Wakuu katika Israeli wanapoongoza,wakati watu wanapojitoakwa hiari yao wenyewe:mhimidini BWANA! 3 “Sikieni hili, enyi wafalme!Sikilizeni, enyi watawala!Nitamwimbia BWANA, nitaimba;kwa wimbo nitamhimidi BWANA,Mungu wa Israeli. 4 “Ee BWANA, ulipotoka katika Seiri,ulipopita katika mashamba ya Edomu,nchi ilitetemeka, mbingu nazo zikamwaga,naam, mawingu yakamwaga maji. 5 Milima ilitetemeka mbele za BWANA,hata ule wa Sinai,mbele za BWANA,Mungu wa Israeli. 6 “Katika siku za Shamgari mwana wa Anathi,katika siku za Yaeli,barabara kuu hazikuwa na watu;wasafiri walipita njia za kando. 7 Mashujaa walikoma katika Israeli,walikoma mpaka mimi, Debora, nilipoinuka,nilipoinuka kama mama katika Israeli. 8 Walipochagua miungu migeni,vita vilikuja katika malango ya mji,hapakuonekana ngao wala mkukimiongoni mwa mashujaa 40,000 katika Israeli. 9 Moyo wangu u pamoja na wakuu wa Israeli,pamoja na wale wanaojitoa wenyewekwa hiari yao miongoni mwa watu.Mhimidini BWANA! 10 “Nanyi mpandao punda weupe,mkiketi juu ya matandiko ya thamani,nanyi mtembeao barabarani,fikirini 11 juu ya sauti za waimbajimahali pa kunyweshea maji.Wanasimulia matendo ya haki ya BWANA,matendo ya haki ya mashujaa wakekatika Israeli. “Ndipo watu wa BWANAwalipoteremka malangoni pa mji. 12 ‘Amka, amka! Debora!Amka, amka, uimbe!Ee Baraka! Inuka,chukua mateka wako uliowateka,ee mwana wa Abinoamu.’ 13 “Ndipo mabaki ya watuwakashuka dhidi ya wenye nguvu,watu wa BWANA,wakashuka dhidi ya mashujaa wenye nguvu. 14 Kutoka Efraimu wakaja watu, ambao chimbuko lao ni Amaleki;Benyamini akiwa miongonimwa watu waliokufuata.Kutoka Makiri wakashuka viongozi,na kutoka Zabuloni wale washikaofimbo ya jemadari. 15 Wakuu wa Isakari walikuwa pamoja na Debora;naam, Isakari alikuwa pamoja na Baraka,wakija nyuma yake kwa mbiowakielekea bondeni.Katika jamaa za Reubeni,palikuwa na kujihoji kukubwa moyoni. 16 Kwa nini ulikaa katikati ya mazizi ya kondookusikiliza sauti ya filimbi zinazoita makundi?Kwa jamaa za Reubeni,palikuwa na kujihoji kukubwa moyoni. 17 Gileadi alikaa ngʼambo ya Yordani.Naye Dani, kwa nini alikaakwenye merikebu siku nyingi?Asheri alikaa kwa utulivu ufuoni mwa bahari,akikaa kwenye ghuba zake ndogo. 18 Watu wa Zabuloni walihatarisha maisha yao,vilevile nao watu wa Naftali. 19 “Wafalme walikuja na kufanya vita;wafalme wa Kanaani walipiganahuko Taanaki karibu na maji ya Megido,lakini hawakuchukua fedha wala nyara. 20 Kutoka mbinguni nyota zilipigana,nyota kutoka njia zakezilipigana na Sisera. 21 Mto wa Kishoni uliwasomba,ule mto wa zamani, mto wa Kishoni.Songa mbele, ee nafsi yangu,kwa ujasiri! 22 Ndipo kwato za farasi zikafanya mshindo:farasi wake wenye nguvuhuenda mbio kwa kurukaruka. 23 Malaika wa BWANA akasema, ‘Merozi alaaniwe.Walaaniwe watu wake kwa uchungu,kwa kuwa hawakuja kumsaidia BWANA,kumsaidia BWANA dhidi ya hao wenye nguvu.’ 24 “Yaeli abarikiwe kuliko wanawake wote,mkewe Heberi, Mkeni,abarikiwe kuliko wanawake wotewaishio kwenye mahema. 25 Aliomba maji, naye akampa maziwa;kwenye bakuli la heshimaakamletea maziwa mgando. 26 Akanyoosha mkono wakeakashika kigingi cha hema,mkono wake wa kuumeukashika nyundo ya fundi.Akampiga Sisera kwa nyundo,akamponda kichwa chake,akamvunjavunja na kumtoboapaji lake la uso. 27 Aliinama miguuni pa Yaeli,akaanguka; akalala hapo.Pale alipoinama miguuni pake,alianguka;pale alipoinamia, ndipo alipoanguka,akiwa amekufa. 28 “Kupitia dirishani mamaye Sisera alichungulia;nyuma ya dirisha alilia, akasema,‘Mbona gari lake linachelewa kufika?Mbona vishindo vya magari yakevimechelewa?’ 29 Wanawake wenye busarakuliko wengine wote wakamjibu;naam, husema moyoni mwake, 30 ‘Je, hawapati na kugawanya nyara:msichana mmoja au wawili kwa kila mtu,mavazi ya rangi mbalimbali kwa Sisera kuwa nyara,mavazi ya rangi mbalimbali yaliyotariziwa,mavazi yaliyotariziwa vizuri kwa ajili ya shingo yangu:yote haya yakiwa nyara?’ 31 “Adui zako wote na waangamie, Ee BWANA!Bali wote wakupendao na wawe kama jualichomozavyo kwa nguvu zake.”Hivyo nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini.

In Other Versions

Judges 5 in the ANGEFD

Judges 5 in the ANTPNG2D

Judges 5 in the AS21

Judges 5 in the BAGH

Judges 5 in the BBPNG

Judges 5 in the BBT1E

Judges 5 in the BDS

Judges 5 in the BEV

Judges 5 in the BHAD

Judges 5 in the BIB

Judges 5 in the BLPT

Judges 5 in the BNT

Judges 5 in the BNTABOOT

Judges 5 in the BNTLV

Judges 5 in the BOATCB

Judges 5 in the BOATCB2

Judges 5 in the BOBCV

Judges 5 in the BOCNT

Judges 5 in the BOECS

Judges 5 in the BOGWICC

Judges 5 in the BOHCB

Judges 5 in the BOHCV

Judges 5 in the BOHLNT

Judges 5 in the BOHNTLTAL

Judges 5 in the BOICB

Judges 5 in the BOILNTAP

Judges 5 in the BOITCV

Judges 5 in the BOKCV2

Judges 5 in the BOKHWOG

Judges 5 in the BOKSSV

Judges 5 in the BOLCB

Judges 5 in the BOLCB2

Judges 5 in the BOMCV

Judges 5 in the BONAV

Judges 5 in the BONCB

Judges 5 in the BONLT

Judges 5 in the BONUT2

Judges 5 in the BOPLNT

Judges 5 in the BOSCB

Judges 5 in the BOSNC

Judges 5 in the BOTLNT

Judges 5 in the BOVCB

Judges 5 in the BOYCB

Judges 5 in the BPBB

Judges 5 in the BPH

Judges 5 in the BSB

Judges 5 in the CCB

Judges 5 in the CUV

Judges 5 in the CUVS

Judges 5 in the DBT

Judges 5 in the DGDNT

Judges 5 in the DHNT

Judges 5 in the DNT

Judges 5 in the ELBE

Judges 5 in the EMTV

Judges 5 in the ESV

Judges 5 in the FBV

Judges 5 in the FEB

Judges 5 in the GGMNT

Judges 5 in the GNT

Judges 5 in the HARY

Judges 5 in the HNT

Judges 5 in the IRVA

Judges 5 in the IRVB

Judges 5 in the IRVG

Judges 5 in the IRVH

Judges 5 in the IRVK

Judges 5 in the IRVM

Judges 5 in the IRVM2

Judges 5 in the IRVO

Judges 5 in the IRVP

Judges 5 in the IRVT

Judges 5 in the IRVT2

Judges 5 in the IRVU

Judges 5 in the ISVN

Judges 5 in the JSNT

Judges 5 in the KAPI

Judges 5 in the KBT1ETNIK

Judges 5 in the KBV

Judges 5 in the KJV

Judges 5 in the KNFD

Judges 5 in the LBA

Judges 5 in the LBLA

Judges 5 in the LNT

Judges 5 in the LSV

Judges 5 in the MAAL

Judges 5 in the MBV

Judges 5 in the MBV2

Judges 5 in the MHNT

Judges 5 in the MKNFD

Judges 5 in the MNG

Judges 5 in the MNT

Judges 5 in the MNT2

Judges 5 in the MRS1T

Judges 5 in the NAA

Judges 5 in the NASB

Judges 5 in the NBLA

Judges 5 in the NBS

Judges 5 in the NBVTP

Judges 5 in the NET2

Judges 5 in the NIV11

Judges 5 in the NNT

Judges 5 in the NNT2

Judges 5 in the NNT3

Judges 5 in the PDDPT

Judges 5 in the PFNT

Judges 5 in the RMNT

Judges 5 in the SBIAS

Judges 5 in the SBIBS

Judges 5 in the SBIBS2

Judges 5 in the SBICS

Judges 5 in the SBIDS

Judges 5 in the SBIGS

Judges 5 in the SBIHS

Judges 5 in the SBIIS

Judges 5 in the SBIIS2

Judges 5 in the SBIIS3

Judges 5 in the SBIKS

Judges 5 in the SBIKS2

Judges 5 in the SBIMS

Judges 5 in the SBIOS

Judges 5 in the SBIPS

Judges 5 in the SBISS

Judges 5 in the SBITS

Judges 5 in the SBITS2

Judges 5 in the SBITS3

Judges 5 in the SBITS4

Judges 5 in the SBIUS

Judges 5 in the SBIVS

Judges 5 in the SBT

Judges 5 in the SBT1E

Judges 5 in the SCHL

Judges 5 in the SNT

Judges 5 in the SUSU

Judges 5 in the SUSU2

Judges 5 in the SYNO

Judges 5 in the TBIAOTANT

Judges 5 in the TBT1E

Judges 5 in the TBT1E2

Judges 5 in the TFTIP

Judges 5 in the TFTU

Judges 5 in the TGNTATF3T

Judges 5 in the THAI

Judges 5 in the TNFD

Judges 5 in the TNT

Judges 5 in the TNTIK

Judges 5 in the TNTIL

Judges 5 in the TNTIN

Judges 5 in the TNTIP

Judges 5 in the TNTIZ

Judges 5 in the TOMA

Judges 5 in the TTENT

Judges 5 in the UBG

Judges 5 in the UGV

Judges 5 in the UGV2

Judges 5 in the UGV3

Judges 5 in the VBL

Judges 5 in the VDCC

Judges 5 in the YALU

Judges 5 in the YAPE

Judges 5 in the YBVTP

Judges 5 in the ZBP