Ecclesiastes 7 (BOKCV)

1 Afadhali sifa nzuri kuliko manukato safi,nayo siku ya kufa kuliko ya kuzaliwa. 2 Afadhali kwenda kwenye nyumba ya msibakuliko kwenda kwenye nyumba ya karamu,kwa kuwa kifo ni hatima ya kila mwanadamu,imewapasa walio hai kuliweka hili mioyoni mwao. 3 Huzuni ni afadhali kuliko kicheko,kwa sababu uso wenye huzuni wafaa kwa moyo. 4 Moyo wa wenye hekima uko katika nyumba ya msiba,lakini moyo wa wapumbavu uko katika nyumba ya anasa. 5 Afadhali kusikia karipio la mtu mwenye hekima,kuliko kusikiliza wimbo wa wapumbavu. 6 Kama ilivyo kuvunjika kwa miiba chini ya sufuria,ndivyo kilivyo kicheko cha wapumbavu.Hili nalo pia ni ubatili. 7 Dhuluma humfanya mtu mwenye hekima kuwa mpumbavu,nayo rushwa huuharibu moyo. 8 Mwisho wa jambo ni bora kuliko mwanzo wake,uvumilivu ni bora kuliko kiburi. 9 Usiwe mwepesi kukasirika rohoni mwako,kwa kuwa hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu. 10 Usiseme, “Kwa nini siku za kale zilikuwa bora kuliko siku hizi?”Kwa maana si hekima kuuliza maswali kama hayo. 11 Hekima, kama ulivyo urithi, ni kitu chemana huwafaidia wale walionalo jua. 12 Hekima ni ulinzi kama fedha ilivyo ulinzi,lakini faida ya maarifa ni hii:kwamba hekima huhifadhi maisha ya aliye nayo. 13 Tafakari kile Mungu alichokitenda:Nani awezaye kunyooshakile ambacho yeye amekipinda? 14 Nyakati zikiwa nzuri, ufurahi,lakini nyakati zikiwa mbaya, tafakari:Mungu amefanya hiyo moja,naam, sanjari na hiyo nyingine.Kwa hiyo, mwanadamu hawezi kugunduakitu chochote kuhusu maisha yake ya baadaye. 15 Katika maisha haya yangu ya ubatili nimeshaona haya mawili:mtu mwadilifu akiangamia katika uadilifu wake,naye mtu mwovu akiishi maisha marefu katika uovu wake. 16 Usiwe mwenye haki kupita kiasi,wala usiwe na hekima kupita kiasi:kwa nini kujiangamiza mwenyewe? 17 Usiwe mwovu kupita kiasi,wala usiwe mpumbavu:kwa nini kufa kabla ya wakati wako? 18 Ni vyema kushika hilo mojana wala usiache hilo jingine likupite.Mtu amchaye Mungu ataepuka huko kupita kiasi. 19 Hekima humfanya yeye aliye nayo kuwa na uwezo zaidikuliko watawala kumi katika mji. 20 Hakuna mtu mwenye haki dunianiambaye hufanya mambo ya hakina kamwe asitende dhambi. 21 Usitie maanani kila neno linalosemwa na watu,la sivyo, waweza kumsikiamtumishi wako akikulaani: 22 kwa kuwa unafahamu moyoni mwakokwamba wewe mwenyewe mara nyingiumewalaani wengine. 23 Yote haya niliyajaribu kwa hekima, nikasema,“Nimeamua kuwa na hekima”:lakini hii ilikuwa nje ya uwezo wangu. 24 Vyovyote hekima ilivyo,hekima iko mbali sana na imejificha,ni nani awezaye kuigundua? 25 Nikageuza fikira zangu ili kuelewa,kuchunguza na kuitafuta hekimana kusudi la mambo,na ili kuelewa ujinga wa uovu,na wazimu wa upumbavu. 26 Nimeona jambo lililo chungu kuliko mauti,mwanamke ambaye ni mtego,ambaye moyo wake ni wavu wa kutegeana mikono yake ni minyororo.Mtu ampendezaye Mungu atamkwepa,bali mwenye dhambi atanaswa naye. 27 Mhubiri anasema, “Tazama, hili ndilo nililogundua:“Nimegundua kitu kimoja baada ya kingine nilipokuwa katika kusudi la mambo: 28 ningali natafitilakini sipati:nilimpata mwanaume mmoja mnyofu miongoni mwa elfu,lakini hakuna mwanamke mmoja mnyofu miongoni mwao. 29 Hili ndilo peke yake nililolipata:Mungu amemuumba mwanadamu mnyofu,lakini mwanadamu amebuni mambo mengi.”

In Other Versions

Ecclesiastes 7 in the ANGEFD

Ecclesiastes 7 in the ANTPNG2D

Ecclesiastes 7 in the AS21

Ecclesiastes 7 in the BAGH

Ecclesiastes 7 in the BBPNG

Ecclesiastes 7 in the BBT1E

Ecclesiastes 7 in the BDS

Ecclesiastes 7 in the BEV

Ecclesiastes 7 in the BHAD

Ecclesiastes 7 in the BIB

Ecclesiastes 7 in the BLPT

Ecclesiastes 7 in the BNT

Ecclesiastes 7 in the BNTABOOT

Ecclesiastes 7 in the BNTLV

Ecclesiastes 7 in the BOATCB

Ecclesiastes 7 in the BOATCB2

Ecclesiastes 7 in the BOBCV

Ecclesiastes 7 in the BOCNT

Ecclesiastes 7 in the BOECS

Ecclesiastes 7 in the BOGWICC

Ecclesiastes 7 in the BOHCB

Ecclesiastes 7 in the BOHCV

Ecclesiastes 7 in the BOHLNT

Ecclesiastes 7 in the BOHNTLTAL

Ecclesiastes 7 in the BOICB

Ecclesiastes 7 in the BOILNTAP

Ecclesiastes 7 in the BOITCV

Ecclesiastes 7 in the BOKCV2

Ecclesiastes 7 in the BOKHWOG

Ecclesiastes 7 in the BOKSSV

Ecclesiastes 7 in the BOLCB

Ecclesiastes 7 in the BOLCB2

Ecclesiastes 7 in the BOMCV

Ecclesiastes 7 in the BONAV

Ecclesiastes 7 in the BONCB

Ecclesiastes 7 in the BONLT

Ecclesiastes 7 in the BONUT2

Ecclesiastes 7 in the BOPLNT

Ecclesiastes 7 in the BOSCB

Ecclesiastes 7 in the BOSNC

Ecclesiastes 7 in the BOTLNT

Ecclesiastes 7 in the BOVCB

Ecclesiastes 7 in the BOYCB

Ecclesiastes 7 in the BPBB

Ecclesiastes 7 in the BPH

Ecclesiastes 7 in the BSB

Ecclesiastes 7 in the CCB

Ecclesiastes 7 in the CUV

Ecclesiastes 7 in the CUVS

Ecclesiastes 7 in the DBT

Ecclesiastes 7 in the DGDNT

Ecclesiastes 7 in the DHNT

Ecclesiastes 7 in the DNT

Ecclesiastes 7 in the ELBE

Ecclesiastes 7 in the EMTV

Ecclesiastes 7 in the ESV

Ecclesiastes 7 in the FBV

Ecclesiastes 7 in the FEB

Ecclesiastes 7 in the GGMNT

Ecclesiastes 7 in the GNT

Ecclesiastes 7 in the HARY

Ecclesiastes 7 in the HNT

Ecclesiastes 7 in the IRVA

Ecclesiastes 7 in the IRVB

Ecclesiastes 7 in the IRVG

Ecclesiastes 7 in the IRVH

Ecclesiastes 7 in the IRVK

Ecclesiastes 7 in the IRVM

Ecclesiastes 7 in the IRVM2

Ecclesiastes 7 in the IRVO

Ecclesiastes 7 in the IRVP

Ecclesiastes 7 in the IRVT

Ecclesiastes 7 in the IRVT2

Ecclesiastes 7 in the IRVU

Ecclesiastes 7 in the ISVN

Ecclesiastes 7 in the JSNT

Ecclesiastes 7 in the KAPI

Ecclesiastes 7 in the KBT1ETNIK

Ecclesiastes 7 in the KBV

Ecclesiastes 7 in the KJV

Ecclesiastes 7 in the KNFD

Ecclesiastes 7 in the LBA

Ecclesiastes 7 in the LBLA

Ecclesiastes 7 in the LNT

Ecclesiastes 7 in the LSV

Ecclesiastes 7 in the MAAL

Ecclesiastes 7 in the MBV

Ecclesiastes 7 in the MBV2

Ecclesiastes 7 in the MHNT

Ecclesiastes 7 in the MKNFD

Ecclesiastes 7 in the MNG

Ecclesiastes 7 in the MNT

Ecclesiastes 7 in the MNT2

Ecclesiastes 7 in the MRS1T

Ecclesiastes 7 in the NAA

Ecclesiastes 7 in the NASB

Ecclesiastes 7 in the NBLA

Ecclesiastes 7 in the NBS

Ecclesiastes 7 in the NBVTP

Ecclesiastes 7 in the NET2

Ecclesiastes 7 in the NIV11

Ecclesiastes 7 in the NNT

Ecclesiastes 7 in the NNT2

Ecclesiastes 7 in the NNT3

Ecclesiastes 7 in the PDDPT

Ecclesiastes 7 in the PFNT

Ecclesiastes 7 in the RMNT

Ecclesiastes 7 in the SBIAS

Ecclesiastes 7 in the SBIBS

Ecclesiastes 7 in the SBIBS2

Ecclesiastes 7 in the SBICS

Ecclesiastes 7 in the SBIDS

Ecclesiastes 7 in the SBIGS

Ecclesiastes 7 in the SBIHS

Ecclesiastes 7 in the SBIIS

Ecclesiastes 7 in the SBIIS2

Ecclesiastes 7 in the SBIIS3

Ecclesiastes 7 in the SBIKS

Ecclesiastes 7 in the SBIKS2

Ecclesiastes 7 in the SBIMS

Ecclesiastes 7 in the SBIOS

Ecclesiastes 7 in the SBIPS

Ecclesiastes 7 in the SBISS

Ecclesiastes 7 in the SBITS

Ecclesiastes 7 in the SBITS2

Ecclesiastes 7 in the SBITS3

Ecclesiastes 7 in the SBITS4

Ecclesiastes 7 in the SBIUS

Ecclesiastes 7 in the SBIVS

Ecclesiastes 7 in the SBT

Ecclesiastes 7 in the SBT1E

Ecclesiastes 7 in the SCHL

Ecclesiastes 7 in the SNT

Ecclesiastes 7 in the SUSU

Ecclesiastes 7 in the SUSU2

Ecclesiastes 7 in the SYNO

Ecclesiastes 7 in the TBIAOTANT

Ecclesiastes 7 in the TBT1E

Ecclesiastes 7 in the TBT1E2

Ecclesiastes 7 in the TFTIP

Ecclesiastes 7 in the TFTU

Ecclesiastes 7 in the TGNTATF3T

Ecclesiastes 7 in the THAI

Ecclesiastes 7 in the TNFD

Ecclesiastes 7 in the TNT

Ecclesiastes 7 in the TNTIK

Ecclesiastes 7 in the TNTIL

Ecclesiastes 7 in the TNTIN

Ecclesiastes 7 in the TNTIP

Ecclesiastes 7 in the TNTIZ

Ecclesiastes 7 in the TOMA

Ecclesiastes 7 in the TTENT

Ecclesiastes 7 in the UBG

Ecclesiastes 7 in the UGV

Ecclesiastes 7 in the UGV2

Ecclesiastes 7 in the UGV3

Ecclesiastes 7 in the VBL

Ecclesiastes 7 in the VDCC

Ecclesiastes 7 in the YALU

Ecclesiastes 7 in the YAPE

Ecclesiastes 7 in the YBVTP

Ecclesiastes 7 in the ZBP