Jeremiah 20 (BOKCV)

1 Ikawa kuhani Pashuri mwana wa Imeri, mkuu wa maafisa wa Hekalu la BWANA, alipomsikia Yeremia akitoa unabii juu ya mambo haya, 2 akaamuru Yeremia nabii apigwe na kufungwa kwenye mkatale katika Lango la Juu la Benyamini huko Hekaluni la BWANA. 3 Siku ya pili Pashuri alipomwachia kutoka kwenye mkatale, Yeremia akamwambia, “BWANA hakukuita jina lako kuwa Pashuri bali Magor-Misabibu. 4 Kwa kuwa hili ndilo asemalo BWANA: ‘Nitakufanya kuwa hofu kuu kwako wewe mwenyewe na rafiki zako wote, na kwa macho yako mwenyewe utawaona wakianguka kwa upanga wa adui zao. Nitawatia Yuda wote mikononi mwa mfalme wa Babeli, ambaye atawachukua na kuwapeleka Babeli, ama awaue kwa upanga. 5 Nitatia utajiri wote wa mji huu kwa adui zao: yaani mazao yao yote, vitu vyao vyote vya thamani, na hazina zote za wafalme wa Yuda. Watavitwaa kwa nyara na kuvipeleka Babeli. 6 Nawe Pashuri pamoja na wote waishio katika nyumba yako mtakwenda uhamishoni Babeli. Mtafia humo na kuzikwa, wewe na rafiki zako wote ambao umewatabiria uongo.’ ” 7 Ee BWANA, umenidanganya,nami nikadanganyika;wewe una nguvu kuniliko,nawe umenishinda.Ninadharauliwa mchana kutwa,kila mmoja ananidhihaki. 8 Kila ninenapo, ninapiga kelelenikitangaza ukatili na uharibifu.Kwa hiyo neno la BWANA limeniletea matukanona mashutumu mchana kutwa. 9 Lakini kama nikisema, “Sitamtajawala kusema tena kwa jina lake,”neno lake linawaka ndani ya moyo wangu kama moto,moto uliofungwa ndani ya mifupa yangu.Nimechoka sana kwa kulizuia ndani mwangu;kweli, siwezi kujizuia. 10 Ninasikia minongʼono mingi,“Hofu iko pande zote!Mshtakini! Twendeni tumshtaki!”Rafiki zangu wote wananisubiri niteleze,wakisema,“Labda atadanganyika;kisha tutamshindana kulipiza kisasi juu yake.” 11 Lakini BWANA yu pamoja namikama shujaa mwenye nguvu;hivyo washtaki wangu watajikwaana kamwe hawatashinda.Watashindwa, nao wataaibika kabisa;kukosa adabu kwao hakutasahauliwa. 12 Ee BWANA Mwenye Nguvu Zote,wewe umjaribuye mwenye hakina kupima moyo na nia,hebu nione ukilipiza kisasi juu yao,kwa maana kwakonimeliweka shauri langu. 13 Mwimbieni BWANA!Mpeni BWANA sifa!Yeye huokoa uhai wa mhitajikutoka mikononi mwa waovu. 14 Ilaaniwe siku niliyozaliwa!Nayo isibarikiwe ile sikumama yangu aliyonizaa! 15 Alaaniwe mtu yule aliyemletea baba yangu habari,yule aliyemfanya afurahi sana, akisema,“Mtoto amezaliwa kwako,tena mtoto wa kiume!” 16 Mtu huyo na awe kama miji ileambayo BWANA Mungualiiangamiza bila huruma.Yeye na asikie maombolezo asubuhina kilio cha vita adhuhuri. 17 Kwa sababu hakuniua nikiwa tumboni,hivyo mama yangu angekuwa kaburi langu,nalo tumbo lake la uzazilingebaki kuwa kubwa daima. 18 Kwa nini basi nilitoka tumboniili kuona taabu na huzuni,na kuzimaliza siku zangu katika aibu?

In Other Versions

Jeremiah 20 in the ANGEFD

Jeremiah 20 in the ANTPNG2D

Jeremiah 20 in the AS21

Jeremiah 20 in the BAGH

Jeremiah 20 in the BBPNG

Jeremiah 20 in the BBT1E

Jeremiah 20 in the BDS

Jeremiah 20 in the BEV

Jeremiah 20 in the BHAD

Jeremiah 20 in the BIB

Jeremiah 20 in the BLPT

Jeremiah 20 in the BNT

Jeremiah 20 in the BNTABOOT

Jeremiah 20 in the BNTLV

Jeremiah 20 in the BOATCB

Jeremiah 20 in the BOATCB2

Jeremiah 20 in the BOBCV

Jeremiah 20 in the BOCNT

Jeremiah 20 in the BOECS

Jeremiah 20 in the BOGWICC

Jeremiah 20 in the BOHCB

Jeremiah 20 in the BOHCV

Jeremiah 20 in the BOHLNT

Jeremiah 20 in the BOHNTLTAL

Jeremiah 20 in the BOICB

Jeremiah 20 in the BOILNTAP

Jeremiah 20 in the BOITCV

Jeremiah 20 in the BOKCV2

Jeremiah 20 in the BOKHWOG

Jeremiah 20 in the BOKSSV

Jeremiah 20 in the BOLCB

Jeremiah 20 in the BOLCB2

Jeremiah 20 in the BOMCV

Jeremiah 20 in the BONAV

Jeremiah 20 in the BONCB

Jeremiah 20 in the BONLT

Jeremiah 20 in the BONUT2

Jeremiah 20 in the BOPLNT

Jeremiah 20 in the BOSCB

Jeremiah 20 in the BOSNC

Jeremiah 20 in the BOTLNT

Jeremiah 20 in the BOVCB

Jeremiah 20 in the BOYCB

Jeremiah 20 in the BPBB

Jeremiah 20 in the BPH

Jeremiah 20 in the BSB

Jeremiah 20 in the CCB

Jeremiah 20 in the CUV

Jeremiah 20 in the CUVS

Jeremiah 20 in the DBT

Jeremiah 20 in the DGDNT

Jeremiah 20 in the DHNT

Jeremiah 20 in the DNT

Jeremiah 20 in the ELBE

Jeremiah 20 in the EMTV

Jeremiah 20 in the ESV

Jeremiah 20 in the FBV

Jeremiah 20 in the FEB

Jeremiah 20 in the GGMNT

Jeremiah 20 in the GNT

Jeremiah 20 in the HARY

Jeremiah 20 in the HNT

Jeremiah 20 in the IRVA

Jeremiah 20 in the IRVB

Jeremiah 20 in the IRVG

Jeremiah 20 in the IRVH

Jeremiah 20 in the IRVK

Jeremiah 20 in the IRVM

Jeremiah 20 in the IRVM2

Jeremiah 20 in the IRVO

Jeremiah 20 in the IRVP

Jeremiah 20 in the IRVT

Jeremiah 20 in the IRVT2

Jeremiah 20 in the IRVU

Jeremiah 20 in the ISVN

Jeremiah 20 in the JSNT

Jeremiah 20 in the KAPI

Jeremiah 20 in the KBT1ETNIK

Jeremiah 20 in the KBV

Jeremiah 20 in the KJV

Jeremiah 20 in the KNFD

Jeremiah 20 in the LBA

Jeremiah 20 in the LBLA

Jeremiah 20 in the LNT

Jeremiah 20 in the LSV

Jeremiah 20 in the MAAL

Jeremiah 20 in the MBV

Jeremiah 20 in the MBV2

Jeremiah 20 in the MHNT

Jeremiah 20 in the MKNFD

Jeremiah 20 in the MNG

Jeremiah 20 in the MNT

Jeremiah 20 in the MNT2

Jeremiah 20 in the MRS1T

Jeremiah 20 in the NAA

Jeremiah 20 in the NASB

Jeremiah 20 in the NBLA

Jeremiah 20 in the NBS

Jeremiah 20 in the NBVTP

Jeremiah 20 in the NET2

Jeremiah 20 in the NIV11

Jeremiah 20 in the NNT

Jeremiah 20 in the NNT2

Jeremiah 20 in the NNT3

Jeremiah 20 in the PDDPT

Jeremiah 20 in the PFNT

Jeremiah 20 in the RMNT

Jeremiah 20 in the SBIAS

Jeremiah 20 in the SBIBS

Jeremiah 20 in the SBIBS2

Jeremiah 20 in the SBICS

Jeremiah 20 in the SBIDS

Jeremiah 20 in the SBIGS

Jeremiah 20 in the SBIHS

Jeremiah 20 in the SBIIS

Jeremiah 20 in the SBIIS2

Jeremiah 20 in the SBIIS3

Jeremiah 20 in the SBIKS

Jeremiah 20 in the SBIKS2

Jeremiah 20 in the SBIMS

Jeremiah 20 in the SBIOS

Jeremiah 20 in the SBIPS

Jeremiah 20 in the SBISS

Jeremiah 20 in the SBITS

Jeremiah 20 in the SBITS2

Jeremiah 20 in the SBITS3

Jeremiah 20 in the SBITS4

Jeremiah 20 in the SBIUS

Jeremiah 20 in the SBIVS

Jeremiah 20 in the SBT

Jeremiah 20 in the SBT1E

Jeremiah 20 in the SCHL

Jeremiah 20 in the SNT

Jeremiah 20 in the SUSU

Jeremiah 20 in the SUSU2

Jeremiah 20 in the SYNO

Jeremiah 20 in the TBIAOTANT

Jeremiah 20 in the TBT1E

Jeremiah 20 in the TBT1E2

Jeremiah 20 in the TFTIP

Jeremiah 20 in the TFTU

Jeremiah 20 in the TGNTATF3T

Jeremiah 20 in the THAI

Jeremiah 20 in the TNFD

Jeremiah 20 in the TNT

Jeremiah 20 in the TNTIK

Jeremiah 20 in the TNTIL

Jeremiah 20 in the TNTIN

Jeremiah 20 in the TNTIP

Jeremiah 20 in the TNTIZ

Jeremiah 20 in the TOMA

Jeremiah 20 in the TTENT

Jeremiah 20 in the UBG

Jeremiah 20 in the UGV

Jeremiah 20 in the UGV2

Jeremiah 20 in the UGV3

Jeremiah 20 in the VBL

Jeremiah 20 in the VDCC

Jeremiah 20 in the YALU

Jeremiah 20 in the YAPE

Jeremiah 20 in the YBVTP

Jeremiah 20 in the ZBP