Jeremiah 10 (BOKCV)

1 Sikieni lile ambalo BWANA, anena nanyi ee nyumba ya Israeli. 2 Hili ndilo asemalo BWANA:“Usijifunze njia za mataifawala usitishwe na ishara katika anga,ingawa mataifa yanatishwa nazo. 3 Kwa maana desturi za mataifa hazina maana,wanakata mti msituni,na fundi anauchonga kwa patasi. 4 Wanaparemba kwa fedha na dhahabu,wanakikaza kwa nyundo na misumari ili kisitikisike. 5 Sanamu zao ni kama sanamuiliyowekwa shambani la matango kutishia ndegenazo haziwezi kuongea;sharti zibebwesababu haziwezi kutembea.Usiziogope; haziwezi kudhuru,wala kutenda lolote jema.” 6 Hakuna aliye kama wewe, Ee BWANA;wewe ni mkuu,jina lako ni lenye nguvu katika uweza. 7 Ni nani ambaye haimpasi kukuheshimu wewe,Ee Mfalme wa mataifa?Hii ni stahili yako.Miongoni mwa watu wote wenye hekimakatika mataifa na katika falme zao zote,hakuna aliye kama wewe. 8 Wote hawana akili, tena ni wapumbavu,wanafundishwa na sanamu za miti zisizofaa lolote. 9 Huleta fedha iliyofuliwa kutoka Tarshishina dhahabu kutoka Ufazi.Kile ambacho fundi na sonara wametengenezahuvikwa mavazi ya rangi ya samawi na urujuani:vyote vikiwa vimetengenezwana mafundi stadi. 10 Lakini BWANA ni Mungu wa kweli,yeye ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele.Anapokasirika, dunia hutetemeka,mataifa hayawezi kustahimili hasira yake. 11 “Waambie hivi: ‘Miungu hii, ambayo haikuumba mbingu na dunia, itaangamia kutoka dunia na kutoka chini ya mbingu.’ ” 12 Lakini Mungu aliiumba dunia kwa uweza wake,akaweka misingi ya ulimwengu kwa hekima yake,na akazitandaza mbingu kwa ufahamu wake. 13 Atoapo sauti yake, maji yaliyo katika mbingu hunguruma;huyafanya mawingu yainuke kutoka miisho ya dunia.Hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua,naye huuleta upepo kutoka ghala zake. 14 Kila mmoja ni mjinga na hana maarifa,kila sonara ameaibishwa na sanamu zake.Vinyago vyake ni vya udanganyifu,havina pumzi ndani yavyo. 15 Havifai kitu, ni vitu vya kufanyia mzaha tu,hukumu yavyo itakapowadia, vitaangamia. 16 Yeye aliye Fungu la Yakobo sivyo alivyo,kwani ndiye Muumba wa vitu vyote,pamoja na Israeli, kabila la urithi wake: BWANA Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake. 17 Kusanyeni mali na vitu vyenu mwondoke nchi hii,enyi mnaoishi katika hali ya kuzingirwa na jeshi. 18 Kwa kuwa hili ndilo asemalo BWANA:“Wakati huu, nitawatupa nje kwa nguvuwote waishio katika nchi hii;nitawataabishaili waweze kutekwa.” 19 Ole wangu mimi kwa ajili ya kuumia kwangu!Jeraha langu ni kubwa!Lakini nilisema,“Kweli hii ni adhabu yangu,nami sharti niistahimili.” 20 Hema langu limeangamizwa;kamba zake zote zimekatwa.Wana wangu wametekwa na hawapo tena;hakuna hata mmoja aliyebaki wa kusimamisha hema languwala wa kusimamisha kibanda changu. 21 Wachungaji hawana akiliwala hawamuulizi BWANA,hivyo hawastawina kundi lao lote la kondoo limetawanyika. 22 Sikilizeni! Taarifa inakuja:ghasia kubwa kutoka nchi ya kaskazini!Hii itafanya miji ya Yuda ukiwa,makao ya mbweha. 23 Ninajua, Ee BWANA, kwamba maisha ya mwanadamu si yake mwenyewe;hawezi kuziongoza hatua zake mwenyewe. 24 Unirudi, Ee BWANA, lakini kwa kipimo cha haki:si katika hasira yako,usije ukaniangamiza. 25 Umwage ghadhabu yako juu ya mataifawasiokujua wewe,juu ya mataifa wasioliitia jina lako.Kwa kuwa wamemwangamiza Yakobo;wamemwangamiza kabisana kuiharibu nchi yake.

In Other Versions

Jeremiah 10 in the ANGEFD

Jeremiah 10 in the ANTPNG2D

Jeremiah 10 in the AS21

Jeremiah 10 in the BAGH

Jeremiah 10 in the BBPNG

Jeremiah 10 in the BBT1E

Jeremiah 10 in the BDS

Jeremiah 10 in the BEV

Jeremiah 10 in the BHAD

Jeremiah 10 in the BIB

Jeremiah 10 in the BLPT

Jeremiah 10 in the BNT

Jeremiah 10 in the BNTABOOT

Jeremiah 10 in the BNTLV

Jeremiah 10 in the BOATCB

Jeremiah 10 in the BOATCB2

Jeremiah 10 in the BOBCV

Jeremiah 10 in the BOCNT

Jeremiah 10 in the BOECS

Jeremiah 10 in the BOGWICC

Jeremiah 10 in the BOHCB

Jeremiah 10 in the BOHCV

Jeremiah 10 in the BOHLNT

Jeremiah 10 in the BOHNTLTAL

Jeremiah 10 in the BOICB

Jeremiah 10 in the BOILNTAP

Jeremiah 10 in the BOITCV

Jeremiah 10 in the BOKCV2

Jeremiah 10 in the BOKHWOG

Jeremiah 10 in the BOKSSV

Jeremiah 10 in the BOLCB

Jeremiah 10 in the BOLCB2

Jeremiah 10 in the BOMCV

Jeremiah 10 in the BONAV

Jeremiah 10 in the BONCB

Jeremiah 10 in the BONLT

Jeremiah 10 in the BONUT2

Jeremiah 10 in the BOPLNT

Jeremiah 10 in the BOSCB

Jeremiah 10 in the BOSNC

Jeremiah 10 in the BOTLNT

Jeremiah 10 in the BOVCB

Jeremiah 10 in the BOYCB

Jeremiah 10 in the BPBB

Jeremiah 10 in the BPH

Jeremiah 10 in the BSB

Jeremiah 10 in the CCB

Jeremiah 10 in the CUV

Jeremiah 10 in the CUVS

Jeremiah 10 in the DBT

Jeremiah 10 in the DGDNT

Jeremiah 10 in the DHNT

Jeremiah 10 in the DNT

Jeremiah 10 in the ELBE

Jeremiah 10 in the EMTV

Jeremiah 10 in the ESV

Jeremiah 10 in the FBV

Jeremiah 10 in the FEB

Jeremiah 10 in the GGMNT

Jeremiah 10 in the GNT

Jeremiah 10 in the HARY

Jeremiah 10 in the HNT

Jeremiah 10 in the IRVA

Jeremiah 10 in the IRVB

Jeremiah 10 in the IRVG

Jeremiah 10 in the IRVH

Jeremiah 10 in the IRVK

Jeremiah 10 in the IRVM

Jeremiah 10 in the IRVM2

Jeremiah 10 in the IRVO

Jeremiah 10 in the IRVP

Jeremiah 10 in the IRVT

Jeremiah 10 in the IRVT2

Jeremiah 10 in the IRVU

Jeremiah 10 in the ISVN

Jeremiah 10 in the JSNT

Jeremiah 10 in the KAPI

Jeremiah 10 in the KBT1ETNIK

Jeremiah 10 in the KBV

Jeremiah 10 in the KJV

Jeremiah 10 in the KNFD

Jeremiah 10 in the LBA

Jeremiah 10 in the LBLA

Jeremiah 10 in the LNT

Jeremiah 10 in the LSV

Jeremiah 10 in the MAAL

Jeremiah 10 in the MBV

Jeremiah 10 in the MBV2

Jeremiah 10 in the MHNT

Jeremiah 10 in the MKNFD

Jeremiah 10 in the MNG

Jeremiah 10 in the MNT

Jeremiah 10 in the MNT2

Jeremiah 10 in the MRS1T

Jeremiah 10 in the NAA

Jeremiah 10 in the NASB

Jeremiah 10 in the NBLA

Jeremiah 10 in the NBS

Jeremiah 10 in the NBVTP

Jeremiah 10 in the NET2

Jeremiah 10 in the NIV11

Jeremiah 10 in the NNT

Jeremiah 10 in the NNT2

Jeremiah 10 in the NNT3

Jeremiah 10 in the PDDPT

Jeremiah 10 in the PFNT

Jeremiah 10 in the RMNT

Jeremiah 10 in the SBIAS

Jeremiah 10 in the SBIBS

Jeremiah 10 in the SBIBS2

Jeremiah 10 in the SBICS

Jeremiah 10 in the SBIDS

Jeremiah 10 in the SBIGS

Jeremiah 10 in the SBIHS

Jeremiah 10 in the SBIIS

Jeremiah 10 in the SBIIS2

Jeremiah 10 in the SBIIS3

Jeremiah 10 in the SBIKS

Jeremiah 10 in the SBIKS2

Jeremiah 10 in the SBIMS

Jeremiah 10 in the SBIOS

Jeremiah 10 in the SBIPS

Jeremiah 10 in the SBISS

Jeremiah 10 in the SBITS

Jeremiah 10 in the SBITS2

Jeremiah 10 in the SBITS3

Jeremiah 10 in the SBITS4

Jeremiah 10 in the SBIUS

Jeremiah 10 in the SBIVS

Jeremiah 10 in the SBT

Jeremiah 10 in the SBT1E

Jeremiah 10 in the SCHL

Jeremiah 10 in the SNT

Jeremiah 10 in the SUSU

Jeremiah 10 in the SUSU2

Jeremiah 10 in the SYNO

Jeremiah 10 in the TBIAOTANT

Jeremiah 10 in the TBT1E

Jeremiah 10 in the TBT1E2

Jeremiah 10 in the TFTIP

Jeremiah 10 in the TFTU

Jeremiah 10 in the TGNTATF3T

Jeremiah 10 in the THAI

Jeremiah 10 in the TNFD

Jeremiah 10 in the TNT

Jeremiah 10 in the TNTIK

Jeremiah 10 in the TNTIL

Jeremiah 10 in the TNTIN

Jeremiah 10 in the TNTIP

Jeremiah 10 in the TNTIZ

Jeremiah 10 in the TOMA

Jeremiah 10 in the TTENT

Jeremiah 10 in the UBG

Jeremiah 10 in the UGV

Jeremiah 10 in the UGV2

Jeremiah 10 in the UGV3

Jeremiah 10 in the VBL

Jeremiah 10 in the VDCC

Jeremiah 10 in the YALU

Jeremiah 10 in the YAPE

Jeremiah 10 in the YBVTP

Jeremiah 10 in the ZBP