Jeremiah 8 (BOKCV)

1 “ ‘Wakati huo, asema BWANA, mifupa ya wafalme na maafisa wa Yuda, mifupa ya makuhani na manabii, na mifupa ya watu wa Yerusalemu itaondolewa kutoka makaburi yao. 2 Itawekwa wazi kwa jua, na mwezi, na nyota zote za mbingu, ambazo walizipenda na kuzitumikia, na ambazo wamezifuata kutafuta ushauri na kuziabudu. Hawatakusanywa pamoja au kuzikwa, lakini watakuwa kama mavi yaliyotapakaa juu ya ardhi. 3 Popote nitakapowafukuzia, mabaki wote wa kizazi hiki kiovu watatamani kufa kuliko kuishi, asema BWANA Mwenye Nguvu Zote.’ 4 “Waambie, ‘Hivi ndivyo asemavyo BWANA:“ ‘Je, watu wanapoanguka hawainuki?Je, mtu anapopotea harudi? 5 Kwa nini basi watu hawa walipotea?Kwa nini Yerusalemu inapotea kila mara?Wanangʼangʼania udanganyifuna wanakataa kurudi. 6 Nimewasikiliza kwa makini,lakini hawataki kusema lililo sawa.Hakuna anayetubia makosa yakeakisema, “Nimefanya nini?”Kila mmoja hufuata njia yake mwenyewekama farasi anayekwenda vitani. 7 Hata korongo aliyeko anganianayajua majira yake yaliyoamriwa,nao njiwa, mbayuwayu na koikoihufuata majira yao ya kurudi.Lakini watu wangu hawajui BWANA anachotaka kwao. 8 “ ‘Mwawezaje kusema, “Sisi tuna busarakwa sababu tunayo sheria ya BWANA,”wakati ambapo kwa hakika kalamu ya uongo ya waandishiimeandika kwa udanganyifu? 9 Wenye hekima wataaibika,watafadhaika na kunaswa.Kwa kuwa wamelikataa neno la BWANA,hiyo hekima waliyo nayo ni ya namna gani? 10 Kwa hiyo nitawapa watu wengine wake zao,na mashamba yao kwa wamiliki wengine.Kuanzia aliye mdogo kabisa hadi aliye mkubwa kabisa,wote wana tamaa ya kupata zaidi;manabii na makuhani wanafanana,wote wanafanya udanganyifu. 11 Wanafunga majeraha ya watu wangubila uangalifu.Wanasema, “Amani, amani,”wakati hakuna amani. 12 Je, wanaona aibu kwa ajili ya tabia yao inayochukiza mno?Hapana, hawana aibu hata kidogo,hawajui hata kuona haya.Kwa hiyo wataanguka miongoni mwa hao walioanguka,watashushwa chini watakapoadhibiwa,asema BWANA. 13 “ ‘Nitayaondoa mavuno yao,asema BWANA.Hapatakuwepo zabibu kwenye mzabibu.Hapatakuwepo na tini kwenye mtini,majani yake yatanyauka.Kile nilichowapawatanyangʼanywa.’ ” 14 “Kwa nini tunaketi hapa?Kusanyikeni pamoja!Tukimbilie kwenye miji yenye maboma,tukaangamie huko!Kwa kuwa BWANA, Mungu wetuametuhukumu kuangamia,na kutupa maji yenye sumu tunywe,kwa sababu tumemtenda dhambi. 15 Tulitegemea amani,lakini hakuna jema lililokuja,tulitegemea wakati wa kupona,lakini kulikuwa hofu tu. 16 Mkoromo wa farasi za aduiumesikika kuanzia Dani,kwa mlio wa madume yao ya farasi,nchi yote inatetemeka.Wamekuja kuangamiza nchi na vyote vilivyomo,mji na wote waishio ndani yake.” 17 “Tazama, nitatuma nyoka wenye sumu kali katikati yenu,fira ambao hawawezi kulogwa,nao watawauma,”asema BWANA. 18 Ee Mfariji wangu katika huzuni,moyo wangu umezimia ndani yangu. 19 Sikia kilio cha watu wangukutoka nchi ya mbali:“Je, BWANA hayuko Sayuni?Je, Mfalme wake hayuko tena huko?” “Kwa nini wamenikasirisha kwa vinyago vyao,kwa sanamu zao za kigeni zisizofaa?” 20 “Mavuno yamepita,kiangazi kimekwisha,nasi hatujaokolewa.” 21 Kwa kuwa watu wangu wamepondwa, nami nimepondeka pia;ninaomboleza, nayo hofu kuu imenishika. 22 Je, hakuna zeri ya kuponya katika Gileadi?Je, hakuna tabibu huko?Kwa nini basi hakuna uponyajiwa majeraha ya watu wangu?

In Other Versions

Jeremiah 8 in the ANGEFD

Jeremiah 8 in the ANTPNG2D

Jeremiah 8 in the AS21

Jeremiah 8 in the BAGH

Jeremiah 8 in the BBPNG

Jeremiah 8 in the BBT1E

Jeremiah 8 in the BDS

Jeremiah 8 in the BEV

Jeremiah 8 in the BHAD

Jeremiah 8 in the BIB

Jeremiah 8 in the BLPT

Jeremiah 8 in the BNT

Jeremiah 8 in the BNTABOOT

Jeremiah 8 in the BNTLV

Jeremiah 8 in the BOATCB

Jeremiah 8 in the BOATCB2

Jeremiah 8 in the BOBCV

Jeremiah 8 in the BOCNT

Jeremiah 8 in the BOECS

Jeremiah 8 in the BOGWICC

Jeremiah 8 in the BOHCB

Jeremiah 8 in the BOHCV

Jeremiah 8 in the BOHLNT

Jeremiah 8 in the BOHNTLTAL

Jeremiah 8 in the BOICB

Jeremiah 8 in the BOILNTAP

Jeremiah 8 in the BOITCV

Jeremiah 8 in the BOKCV2

Jeremiah 8 in the BOKHWOG

Jeremiah 8 in the BOKSSV

Jeremiah 8 in the BOLCB

Jeremiah 8 in the BOLCB2

Jeremiah 8 in the BOMCV

Jeremiah 8 in the BONAV

Jeremiah 8 in the BONCB

Jeremiah 8 in the BONLT

Jeremiah 8 in the BONUT2

Jeremiah 8 in the BOPLNT

Jeremiah 8 in the BOSCB

Jeremiah 8 in the BOSNC

Jeremiah 8 in the BOTLNT

Jeremiah 8 in the BOVCB

Jeremiah 8 in the BOYCB

Jeremiah 8 in the BPBB

Jeremiah 8 in the BPH

Jeremiah 8 in the BSB

Jeremiah 8 in the CCB

Jeremiah 8 in the CUV

Jeremiah 8 in the CUVS

Jeremiah 8 in the DBT

Jeremiah 8 in the DGDNT

Jeremiah 8 in the DHNT

Jeremiah 8 in the DNT

Jeremiah 8 in the ELBE

Jeremiah 8 in the EMTV

Jeremiah 8 in the ESV

Jeremiah 8 in the FBV

Jeremiah 8 in the FEB

Jeremiah 8 in the GGMNT

Jeremiah 8 in the GNT

Jeremiah 8 in the HARY

Jeremiah 8 in the HNT

Jeremiah 8 in the IRVA

Jeremiah 8 in the IRVB

Jeremiah 8 in the IRVG

Jeremiah 8 in the IRVH

Jeremiah 8 in the IRVK

Jeremiah 8 in the IRVM

Jeremiah 8 in the IRVM2

Jeremiah 8 in the IRVO

Jeremiah 8 in the IRVP

Jeremiah 8 in the IRVT

Jeremiah 8 in the IRVT2

Jeremiah 8 in the IRVU

Jeremiah 8 in the ISVN

Jeremiah 8 in the JSNT

Jeremiah 8 in the KAPI

Jeremiah 8 in the KBT1ETNIK

Jeremiah 8 in the KBV

Jeremiah 8 in the KJV

Jeremiah 8 in the KNFD

Jeremiah 8 in the LBA

Jeremiah 8 in the LBLA

Jeremiah 8 in the LNT

Jeremiah 8 in the LSV

Jeremiah 8 in the MAAL

Jeremiah 8 in the MBV

Jeremiah 8 in the MBV2

Jeremiah 8 in the MHNT

Jeremiah 8 in the MKNFD

Jeremiah 8 in the MNG

Jeremiah 8 in the MNT

Jeremiah 8 in the MNT2

Jeremiah 8 in the MRS1T

Jeremiah 8 in the NAA

Jeremiah 8 in the NASB

Jeremiah 8 in the NBLA

Jeremiah 8 in the NBS

Jeremiah 8 in the NBVTP

Jeremiah 8 in the NET2

Jeremiah 8 in the NIV11

Jeremiah 8 in the NNT

Jeremiah 8 in the NNT2

Jeremiah 8 in the NNT3

Jeremiah 8 in the PDDPT

Jeremiah 8 in the PFNT

Jeremiah 8 in the RMNT

Jeremiah 8 in the SBIAS

Jeremiah 8 in the SBIBS

Jeremiah 8 in the SBIBS2

Jeremiah 8 in the SBICS

Jeremiah 8 in the SBIDS

Jeremiah 8 in the SBIGS

Jeremiah 8 in the SBIHS

Jeremiah 8 in the SBIIS

Jeremiah 8 in the SBIIS2

Jeremiah 8 in the SBIIS3

Jeremiah 8 in the SBIKS

Jeremiah 8 in the SBIKS2

Jeremiah 8 in the SBIMS

Jeremiah 8 in the SBIOS

Jeremiah 8 in the SBIPS

Jeremiah 8 in the SBISS

Jeremiah 8 in the SBITS

Jeremiah 8 in the SBITS2

Jeremiah 8 in the SBITS3

Jeremiah 8 in the SBITS4

Jeremiah 8 in the SBIUS

Jeremiah 8 in the SBIVS

Jeremiah 8 in the SBT

Jeremiah 8 in the SBT1E

Jeremiah 8 in the SCHL

Jeremiah 8 in the SNT

Jeremiah 8 in the SUSU

Jeremiah 8 in the SUSU2

Jeremiah 8 in the SYNO

Jeremiah 8 in the TBIAOTANT

Jeremiah 8 in the TBT1E

Jeremiah 8 in the TBT1E2

Jeremiah 8 in the TFTIP

Jeremiah 8 in the TFTU

Jeremiah 8 in the TGNTATF3T

Jeremiah 8 in the THAI

Jeremiah 8 in the TNFD

Jeremiah 8 in the TNT

Jeremiah 8 in the TNTIK

Jeremiah 8 in the TNTIL

Jeremiah 8 in the TNTIN

Jeremiah 8 in the TNTIP

Jeremiah 8 in the TNTIZ

Jeremiah 8 in the TOMA

Jeremiah 8 in the TTENT

Jeremiah 8 in the UBG

Jeremiah 8 in the UGV

Jeremiah 8 in the UGV2

Jeremiah 8 in the UGV3

Jeremiah 8 in the VBL

Jeremiah 8 in the VDCC

Jeremiah 8 in the YALU

Jeremiah 8 in the YAPE

Jeremiah 8 in the YBVTP

Jeremiah 8 in the ZBP