Lamentations 3 (BOKCV)

1 Mimi ndiye mtu aliyeona matesokwa fimbo ya ghadhabu yake. 2 Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembeegizani wala si katika nuru; 3 hakika, amegeuza mkono wake dhidi yangutena na tena, mchana kutwa. 4 Amefanya ngozi yangu na nyama yangu kuchakaana ameivunja mifupa yangu. 5 Amenizingira na kunizungukakwa uchungu na taabu. 6 Amenifanya niishi gizanikama wale waliokufa. 7 Amenizungushia ukuta ili nisiweze kutoroka,amenifunga kwa minyororo mizito. 8 Hata ninapoita au kulia ili kuomba msaada,anakataa kupokea maombi yangu. 9 Ameizuia njia yangu kwa mapande ya mawe,amepotosha njia zangu. 10 Kama dubu aviziaye,kama simba mafichoni, 11 ameniburuta kutoka njia,akanirarua na kuniacha bila msaada. 12 Amevuta upinde wakena kunifanya mimi niwe lengokwa ajili ya mishale yake. 13 Alinichoma moyo wangu kwa mishaleiliyotoka kwenye podo lake. 14 Nimekuwa kichekesho kwa watu wangu wote,wananidhihaki kwa wimbo mchana kutwa. 15 Amenijaza kwa majani machunguna kunishibisha kwa nyongo. 16 Amevunja meno yangu kwa changarawe,amenikanyagia mavumbini. 17 Amani yangu imeondolewa,nimesahau kufanikiwa ni nini. 18 Kwa hiyo nasema, “Fahari yangu imeondokana yale yote niliyokuwa nimetarajia kutoka kwa BWANA.” 19 Nayakumbuka mateso yangu na kutangatanga kwangu,uchungu na nyongo. 20 Ninayakumbuka vyema,nayo nafsi yangu imezimia ndani yangu. 21 Hata hivyo najikumbusha neno hilina kwa hiyo ninalo tumaini. 22 Kwa sababu ya upendo mkuu wa BWANA, hatuangamii,kwa kuwa huruma zake hazikomi kamwe. 23 Ni mpya kila asubuhi,uaminifu wako ni mkuu. 24 Nimeiambia nafsi yangu, “BWANA ni fungu langu,kwa hiyo nitamngojea.” 25 BWANA ni mwema kwa wale ambao tumaini lao ni kwake,kwa yule ambaye humtafuta; 26 ni vyema kungojea kwa utulivukwa ajili ya wokovu wa BWANA. 27 Ni vyema mtu kuchukua nirabado angali kijana. 28 Na akae peke yake awe kimya,kwa maana BWANA ameiweka juu yake. 29 Na azike uso wake mavumbinibado panawezekana kuwa na matumaini. 30 Na atoe shavu lake kwa yule ampigaye,na ajazwe na aibu. 31 Kwa kuwa watu hawakatiliwi mbalina Bwana milele. 32 Ingawa huleta huzuni, ataonyesha huruma,kwa kuwa upendo wake usiokoma ni mkuu. 33 Kwa maana hapendi kuwaletea matesoau huzuni watoto wa wanadamu. 34 Kuwaponda chini ya nyayowafungwa wote katika nchi, 35 Kumnyima mtu haki zakembele za Aliye Juu Sana, 36 kumnyima mtu haki:Je, Bwana asione mambo kama haya? 37 Nani awezaye kusema nalo likatendekakama Bwana hajaamuru? 38 Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sanandiko yatokako maafa na mambo mema? 39 Mwanadamu yeyote aliye hai aweza kulalamikawakati anapoadhibiwa kwa ajili ya dhambi zake? 40 Tuzichunguze njia zetu na kuzijaribu,na tumrudie BWANA Mungu. 41 Tuinue mioyo yetu pamoja na mikono yetukwa Mungu mbinguni, na tuseme: 42 “Tumetenda dhambi na kuasinawe hujasamehe. 43 “Umejifunika mwenyewe kwa hasira na kutufuatilia;umetuchinja bila huruma. 44 Unajifunika mwenyewe kwa wingu,ili pasiwe na ombilitakaloweza kupenya. 45 Umetufanya takataka na uchafumiongoni mwa mataifa. 46 “Adui zetu wote wamefumbua vinywa vyaowazi dhidi yetu. 47 Tumeteseka kwa hofu kuu na shida ya ghafula,uharibifu na maangamizi.” 48 Vijito vya machozi vinatiririka kutoka machoni mwangu,kwa sababu watu wangu wameangamizwa. 49 Macho yangu yatatiririka machozi bila kukoma,bila kupata nafuu, 50 hadi BWANA atazame chinikutoka mbinguni na kuona. 51 Lile ninaloliona huniletea huzuni nafsinikwa sababu ya wanawake wote wa mji wangu. 52 Wale waliokuwa adui zangu bila sababuwameniwinda kama ndege. 53 Walijaribu kukomesha maisha yangu ndani ya shimona kunitupia mawe; 54 maji yalifunika juu ya kichwa changu,nami nikafikiri nilikuwa karibukukatiliwa mbali. 55 Nililiitia jina lako, Ee BWANA,kutoka vina vya shimo. 56 Ulisikia ombi langu: “Usikizibie masikio yakokilio changu nikuombapo msaada.” 57 Ulikuja karibu nilipokuita,nawe ukasema, “Usiogope.” 58 Ee Bwana, ulichukua shauri langu,ukaukomboa uhai wangu. 59 Umeona, Ee BWANA, ubaya niliotendewa.Tetea shauri langu! 60 Umeona kina cha kisasi chao,mashauri yao yote mabaya dhidi yangu. 61 Ee BWANA, umesikia matukano yao,mashauri yao yote mabaya dhidi yangu: 62 kile adui zangu wanachonongʼona na kunungʼunikiadhidi yangu mchana kutwa. 63 Watazame! Wakiwa wameketi au wamesimama,wananidhihaki katika nyimbo zao. 64 Uwalipe kile wanachostahili, Ee BWANA,kwa yale ambayo mikono yao imetenda. 65 Weka pazia juu ya mioyo yao,laana yako na iwe juu yao! 66 Wafuatilie katika hasira na uwaangamizekutoka chini ya mbingu za BWANA.

In Other Versions

Lamentations 3 in the ANGEFD

Lamentations 3 in the ANTPNG2D

Lamentations 3 in the AS21

Lamentations 3 in the BAGH

Lamentations 3 in the BBPNG

Lamentations 3 in the BBT1E

Lamentations 3 in the BDS

Lamentations 3 in the BEV

Lamentations 3 in the BHAD

Lamentations 3 in the BIB

Lamentations 3 in the BLPT

Lamentations 3 in the BNT

Lamentations 3 in the BNTABOOT

Lamentations 3 in the BNTLV

Lamentations 3 in the BOATCB

Lamentations 3 in the BOATCB2

Lamentations 3 in the BOBCV

Lamentations 3 in the BOCNT

Lamentations 3 in the BOECS

Lamentations 3 in the BOGWICC

Lamentations 3 in the BOHCB

Lamentations 3 in the BOHCV

Lamentations 3 in the BOHLNT

Lamentations 3 in the BOHNTLTAL

Lamentations 3 in the BOICB

Lamentations 3 in the BOILNTAP

Lamentations 3 in the BOITCV

Lamentations 3 in the BOKCV2

Lamentations 3 in the BOKHWOG

Lamentations 3 in the BOKSSV

Lamentations 3 in the BOLCB

Lamentations 3 in the BOLCB2

Lamentations 3 in the BOMCV

Lamentations 3 in the BONAV

Lamentations 3 in the BONCB

Lamentations 3 in the BONLT

Lamentations 3 in the BONUT2

Lamentations 3 in the BOPLNT

Lamentations 3 in the BOSCB

Lamentations 3 in the BOSNC

Lamentations 3 in the BOTLNT

Lamentations 3 in the BOVCB

Lamentations 3 in the BOYCB

Lamentations 3 in the BPBB

Lamentations 3 in the BPH

Lamentations 3 in the BSB

Lamentations 3 in the CCB

Lamentations 3 in the CUV

Lamentations 3 in the CUVS

Lamentations 3 in the DBT

Lamentations 3 in the DGDNT

Lamentations 3 in the DHNT

Lamentations 3 in the DNT

Lamentations 3 in the ELBE

Lamentations 3 in the EMTV

Lamentations 3 in the ESV

Lamentations 3 in the FBV

Lamentations 3 in the FEB

Lamentations 3 in the GGMNT

Lamentations 3 in the GNT

Lamentations 3 in the HARY

Lamentations 3 in the HNT

Lamentations 3 in the IRVA

Lamentations 3 in the IRVB

Lamentations 3 in the IRVG

Lamentations 3 in the IRVH

Lamentations 3 in the IRVK

Lamentations 3 in the IRVM

Lamentations 3 in the IRVM2

Lamentations 3 in the IRVO

Lamentations 3 in the IRVP

Lamentations 3 in the IRVT

Lamentations 3 in the IRVT2

Lamentations 3 in the IRVU

Lamentations 3 in the ISVN

Lamentations 3 in the JSNT

Lamentations 3 in the KAPI

Lamentations 3 in the KBT1ETNIK

Lamentations 3 in the KBV

Lamentations 3 in the KJV

Lamentations 3 in the KNFD

Lamentations 3 in the LBA

Lamentations 3 in the LBLA

Lamentations 3 in the LNT

Lamentations 3 in the LSV

Lamentations 3 in the MAAL

Lamentations 3 in the MBV

Lamentations 3 in the MBV2

Lamentations 3 in the MHNT

Lamentations 3 in the MKNFD

Lamentations 3 in the MNG

Lamentations 3 in the MNT

Lamentations 3 in the MNT2

Lamentations 3 in the MRS1T

Lamentations 3 in the NAA

Lamentations 3 in the NASB

Lamentations 3 in the NBLA

Lamentations 3 in the NBS

Lamentations 3 in the NBVTP

Lamentations 3 in the NET2

Lamentations 3 in the NIV11

Lamentations 3 in the NNT

Lamentations 3 in the NNT2

Lamentations 3 in the NNT3

Lamentations 3 in the PDDPT

Lamentations 3 in the PFNT

Lamentations 3 in the RMNT

Lamentations 3 in the SBIAS

Lamentations 3 in the SBIBS

Lamentations 3 in the SBIBS2

Lamentations 3 in the SBICS

Lamentations 3 in the SBIDS

Lamentations 3 in the SBIGS

Lamentations 3 in the SBIHS

Lamentations 3 in the SBIIS

Lamentations 3 in the SBIIS2

Lamentations 3 in the SBIIS3

Lamentations 3 in the SBIKS

Lamentations 3 in the SBIKS2

Lamentations 3 in the SBIMS

Lamentations 3 in the SBIOS

Lamentations 3 in the SBIPS

Lamentations 3 in the SBISS

Lamentations 3 in the SBITS

Lamentations 3 in the SBITS2

Lamentations 3 in the SBITS3

Lamentations 3 in the SBITS4

Lamentations 3 in the SBIUS

Lamentations 3 in the SBIVS

Lamentations 3 in the SBT

Lamentations 3 in the SBT1E

Lamentations 3 in the SCHL

Lamentations 3 in the SNT

Lamentations 3 in the SUSU

Lamentations 3 in the SUSU2

Lamentations 3 in the SYNO

Lamentations 3 in the TBIAOTANT

Lamentations 3 in the TBT1E

Lamentations 3 in the TBT1E2

Lamentations 3 in the TFTIP

Lamentations 3 in the TFTU

Lamentations 3 in the TGNTATF3T

Lamentations 3 in the THAI

Lamentations 3 in the TNFD

Lamentations 3 in the TNT

Lamentations 3 in the TNTIK

Lamentations 3 in the TNTIL

Lamentations 3 in the TNTIN

Lamentations 3 in the TNTIP

Lamentations 3 in the TNTIZ

Lamentations 3 in the TOMA

Lamentations 3 in the TTENT

Lamentations 3 in the UBG

Lamentations 3 in the UGV

Lamentations 3 in the UGV2

Lamentations 3 in the UGV3

Lamentations 3 in the VBL

Lamentations 3 in the VDCC

Lamentations 3 in the YALU

Lamentations 3 in the YAPE

Lamentations 3 in the YBVTP

Lamentations 3 in the ZBP