Psalms 68 (BOKCV)

undefined Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo. 1 Mungu na ainuke, watesi wake watawanyike,adui zake na wakimbie mbele zake. 2 Kama vile moshi upeperushwavyo na upepo,vivyo hivyo uwapeperushe mbali,kama vile nta iyeyukavyo kwenye moto,vivyo hivyo waovu na waangamie mbele za Mungu. 3 Bali wenye haki na wafurahi,washangilie mbele za Mungu,wafurahi na kushangilia. 4 Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake,mtukuzeni yeye aendeshwaye juu ya mawingu:jina lake ni BWANA,furahini mbele zake. 5 Baba wa yatima, mtetezi wa wajane,ni Mungu katika makao yake matakatifu. 6 Mungu huwaweka wapweke katika jamaa,huwaongoza wafungwa wakiimba,bali waasi huishi katika nchi kame. 7 Ee Mungu, ulipowatangulia watu wako,ulipopita nyikani, 8 dunia ilitikisika,mbingu zikanyesha mvua,mbele za Mungu, Yule wa Sinai,mbele za Mungu, Mungu wa Israeli. 9 Ee Mungu, ulinyesha mvua nyingina kuiburudisha ardhi iliyokuwa imechoka. 10 Ee Mungu, watu wako waliishi huko,nawe kwa wingi wa utajiri wakouliwapa maskini mahitaji yao. 11 Bwana alitangaza neno,waliolitangaza neno hilo walikuwa kundi kubwa: 12 “Wafalme na majeshi walikimbia upesi,watu waliobaki kambini waligawana nyara. 13 Hata ulalapo katikati ya mioto ya kambini,mabawa ya njiwa wangu yamefunikwa kwa fedha,manyoya yake kwa dhahabu ingʼaayo.” 14 Wakati Mwenyezi alipowatawanya wafalme katika nchi,ilikuwa kama theluji iliyoanguka juu ya Salmoni. 15 Milima ya Bashani ni milima iliyotukuka,milima ya Bashani ina vilele vilivyochongoka. 16 Enyi milima yenye vilele vilivyochongoka,kwa nini mnakazia macho kwa wivu,katika mlima Mungu anaochagua kutawala,ambako BWANA mwenyewe ataishi milele? 17 Magari ya Mungu ni makumi ya maelfu,na maelfu ya maelfu;Bwana amekuja kutoka Sinaihadi katika patakatifu pake. 18 Ulipopanda juu, uliteka mateka,ukapokea vipawa kutoka kwa wanadamu,hata kutoka kwa wale walioasi,ili wewe, Ee BWANA Mungu, upate kuishi huko. 19 Sifa apewe Bwana, Mungu Mwokozi wetu,ambaye siku kwa siku hutuchukulia mizigo yetu. 20 Mungu wetu ni Mungu aokoaye, BWANA Mwenyezi hutuokoa na kifo. 21 Hakika Mungu ataponda vichwa vya adui zake,vichwa vya hao waendao katika njia za dhambi. 22 Bwana alisema, “Nitawarudisha kutoka Bashani;nitawarudisha kutoka vilindi vya bahari, 23 ili uweze kuchovya miguu yako katika damu ya adui zako,huku ndimi za mbwa wako zikiwa na fungu lake.” 24 Ee Mungu, maandamano yako yameonekana,maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu,yakielekea patakatifu pake. 25 Mbele wako waimbaji, baada yao wapiga vinanda,pamoja nao wako wanawali wakipiga matari. 26 Msifuni Mungu katika kusanyiko kubwa,msifuni BWANA katika kusanyiko la Israeli. 27 Liko kabila dogo la Benyamini likiwaongoza,wakifuatwa na kundi kubwa la watawala wa Yuda,hatimaye watawala wa Zabuloni na Naftali. 28 Ee Mungu, amuru uwezo wako,Ee Mungu tuonyeshe nguvu zako,kama ulivyofanya hapo awali. 29 Kwa sababu ya Hekalu lako Yerusalemuwafalme watakuletea zawadi. 30 Mkemee mnyama aliyeko kwenye manyasi,kundi la mafahali katikati ya ndama za mataifa.Na walete minara ya madini ya fedha wakinyenyekea.Tawanya mataifa yapendayo vita. 31 Wajumbe watakuja kutoka Misri,Kushi atajisalimisha kwa Mungu. 32 Mwimbieni Mungu, enyi falme za dunia,mwimbieni Bwana sifa, 33 mwimbieni sifa yeye apandaye mbingu za kale zilizo juu,yeye angurumaye kwa sauti kuu. 34 Tangazeni uwezo wa Mungu,ambaye fahari yake iko juu ya Israeli,ambaye uwezo wake uko katika anga. 35 Ee Mungu, wewe unatisha katika mahali patakatifu pako,Mungu wa Israeli huwapa watu wake uwezo na nguvu. Mungu Asifiwe!

In Other Versions

Psalms 68 in the ANGEFD

Psalms 68 in the ANTPNG2D

Psalms 68 in the AS21

Psalms 68 in the BAGH

Psalms 68 in the BBPNG

Psalms 68 in the BBT1E

Psalms 68 in the BDS

Psalms 68 in the BEV

Psalms 68 in the BHAD

Psalms 68 in the BIB

Psalms 68 in the BLPT

Psalms 68 in the BNT

Psalms 68 in the BNTABOOT

Psalms 68 in the BNTLV

Psalms 68 in the BOATCB

Psalms 68 in the BOATCB2

Psalms 68 in the BOBCV

Psalms 68 in the BOCNT

Psalms 68 in the BOECS

Psalms 68 in the BOGWICC

Psalms 68 in the BOHCB

Psalms 68 in the BOHCV

Psalms 68 in the BOHLNT

Psalms 68 in the BOHNTLTAL

Psalms 68 in the BOICB

Psalms 68 in the BOILNTAP

Psalms 68 in the BOITCV

Psalms 68 in the BOKCV2

Psalms 68 in the BOKHWOG

Psalms 68 in the BOKSSV

Psalms 68 in the BOLCB

Psalms 68 in the BOLCB2

Psalms 68 in the BOMCV

Psalms 68 in the BONAV

Psalms 68 in the BONCB

Psalms 68 in the BONLT

Psalms 68 in the BONUT2

Psalms 68 in the BOPLNT

Psalms 68 in the BOSCB

Psalms 68 in the BOSNC

Psalms 68 in the BOTLNT

Psalms 68 in the BOVCB

Psalms 68 in the BOYCB

Psalms 68 in the BPBB

Psalms 68 in the BPH

Psalms 68 in the BSB

Psalms 68 in the CCB

Psalms 68 in the CUV

Psalms 68 in the CUVS

Psalms 68 in the DBT

Psalms 68 in the DGDNT

Psalms 68 in the DHNT

Psalms 68 in the DNT

Psalms 68 in the ELBE

Psalms 68 in the EMTV

Psalms 68 in the ESV

Psalms 68 in the FBV

Psalms 68 in the FEB

Psalms 68 in the GGMNT

Psalms 68 in the GNT

Psalms 68 in the HARY

Psalms 68 in the HNT

Psalms 68 in the IRVA

Psalms 68 in the IRVB

Psalms 68 in the IRVG

Psalms 68 in the IRVH

Psalms 68 in the IRVK

Psalms 68 in the IRVM

Psalms 68 in the IRVM2

Psalms 68 in the IRVO

Psalms 68 in the IRVP

Psalms 68 in the IRVT

Psalms 68 in the IRVT2

Psalms 68 in the IRVU

Psalms 68 in the ISVN

Psalms 68 in the JSNT

Psalms 68 in the KAPI

Psalms 68 in the KBT1ETNIK

Psalms 68 in the KBV

Psalms 68 in the KJV

Psalms 68 in the KNFD

Psalms 68 in the LBA

Psalms 68 in the LBLA

Psalms 68 in the LNT

Psalms 68 in the LSV

Psalms 68 in the MAAL

Psalms 68 in the MBV

Psalms 68 in the MBV2

Psalms 68 in the MHNT

Psalms 68 in the MKNFD

Psalms 68 in the MNG

Psalms 68 in the MNT

Psalms 68 in the MNT2

Psalms 68 in the MRS1T

Psalms 68 in the NAA

Psalms 68 in the NASB

Psalms 68 in the NBLA

Psalms 68 in the NBS

Psalms 68 in the NBVTP

Psalms 68 in the NET2

Psalms 68 in the NIV11

Psalms 68 in the NNT

Psalms 68 in the NNT2

Psalms 68 in the NNT3

Psalms 68 in the PDDPT

Psalms 68 in the PFNT

Psalms 68 in the RMNT

Psalms 68 in the SBIAS

Psalms 68 in the SBIBS

Psalms 68 in the SBIBS2

Psalms 68 in the SBICS

Psalms 68 in the SBIDS

Psalms 68 in the SBIGS

Psalms 68 in the SBIHS

Psalms 68 in the SBIIS

Psalms 68 in the SBIIS2

Psalms 68 in the SBIIS3

Psalms 68 in the SBIKS

Psalms 68 in the SBIKS2

Psalms 68 in the SBIMS

Psalms 68 in the SBIOS

Psalms 68 in the SBIPS

Psalms 68 in the SBISS

Psalms 68 in the SBITS

Psalms 68 in the SBITS2

Psalms 68 in the SBITS3

Psalms 68 in the SBITS4

Psalms 68 in the SBIUS

Psalms 68 in the SBIVS

Psalms 68 in the SBT

Psalms 68 in the SBT1E

Psalms 68 in the SCHL

Psalms 68 in the SNT

Psalms 68 in the SUSU

Psalms 68 in the SUSU2

Psalms 68 in the SYNO

Psalms 68 in the TBIAOTANT

Psalms 68 in the TBT1E

Psalms 68 in the TBT1E2

Psalms 68 in the TFTIP

Psalms 68 in the TFTU

Psalms 68 in the TGNTATF3T

Psalms 68 in the THAI

Psalms 68 in the TNFD

Psalms 68 in the TNT

Psalms 68 in the TNTIK

Psalms 68 in the TNTIL

Psalms 68 in the TNTIN

Psalms 68 in the TNTIP

Psalms 68 in the TNTIZ

Psalms 68 in the TOMA

Psalms 68 in the TTENT

Psalms 68 in the UBG

Psalms 68 in the UGV

Psalms 68 in the UGV2

Psalms 68 in the UGV3

Psalms 68 in the VBL

Psalms 68 in the VDCC

Psalms 68 in the YALU

Psalms 68 in the YAPE

Psalms 68 in the YBVTP

Psalms 68 in the ZBP