Jeremiah 30 (BOKCV)

1 Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa BWANA: 2 “Hili ndilo asemalo BWANA, Mungu wa Israeli: ‘Andika katika kitabu maneno yote niliyonena na wewe. 3 Siku zinakuja,’ asema BWANA, ‘nitakapowaleta watu wangu Israeli na Yuda kutoka uhamishoni, na kuwarudisha katika nchi niliyowapa baba zao ili kuimiliki,’ asema BWANA.” 4 Haya ndiyo maneno BWANA aliyoyanena kuhusu Israeli na Yuda: 5 “Hili ndilo asemalo BWANA:“ ‘Vilio vya woga vinasikika:hofu kuu, wala si amani. 6 Ulizeni na mkaone:Je, mwanaume aweza kuzaa watoto?Kwa nini basi ninaona kila mwanaume mwenye nguvuameweka mikono yake tumbonikama mwanamke aliye na utungu wa kuzaa,kila uso ukigeuka rangi kabisa? 7 Tazama jinsi ile siku itakavyokuwa ya kutisha!Hakutakuwa na nyingine mfano wake.Utakuwa wakati wa dhiki kwa Yakobo,lakini ataokolewa kutoka hiyo. 8 “ ‘Katika siku ile,’ asema BWANA Mwenye Nguvu Zote,‘nitaivunja nira kutoka shingoni mwaona kuvipasua vifungo vyao;wageni hawatawafanya tena watumwa. 9 Badala yake, watamtumikia BWANA, Mungu waona Daudi mfalme wao,nitakayemwinua kwa ajili yao. 10 “ ‘Hivyo usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu,usifadhaike, ee Israeli,’asema BWANA.‘Hakika, nitakuokoa kutoka mbali,wazao wako kutoka nchi ya uhamisho wao.Yakobo atakuwa tena na amani na usalama,wala hakuna atakayemtia hofu. 11 Mimi niko pamoja nawe, nami nitakuokoa,’asema BWANA.‘Ingawa nitayaangamiza kabisa mataifa yoteambamo miongoni mwao nimewatawanya,sitawaangamiza ninyi kabisa.Nitawaadhibu, lakini kwa haki.Sitawaacha kabisa bila adhabu.’ 12 “Hili ndilo asemalo BWANA:“ ‘Kidonda chako hakina dawa,jeraha lako haliponyeki. 13 Hakuna yeyote wa kukutetea shauri lako,hakuna dawa ya kidonda chako,wewe hutapona. 14 Wale walioungana nawe wote wamekusahau,hawajali chochote kukuhusu wewe.Nimekupiga kama vile adui angelifanya,na kukuadhibu kama vile mtu mkatili angelifanya,kwa sababu hatia yako ni kubwa mnona dhambi zako ni nyingi sana. 15 Kwa nini unalia kwa ajili ya jeraha lako,yale maumivu yako yasiyoponyeka?Kwa sababu ya uovu wako mkubwa na dhambi zako nyinginimekufanyia mambo haya. 16 “ ‘Lakini watu wote wakuangamizao wataangamizwa;adui zako wote watakwenda uhamishoni.Wale wote wakutekao nyara watatekwa nyara;wote wakufanyao mateka nitawafanya mateka. 17 Lakini nitakurudishia afya yakona kuyaponya majeraha yako,’asema BWANA,‘kwa sababu umeitwa mwenye kutupwa,Sayuni ambaye hakuna yeyote anayekujali.’ 18 “Hili ndilo asemalo BWANA:“ ‘Nitarudisha baraka za mahema ya Yakobo,na kuhurumia maskani yake.Mji utajengwa tena juu ya magofu yake,nalo jumba la kifalme litasimama mahali pake halisi. 19 Nyimbo za kushukuru zitatoka kwaona sauti ya furaha.Nitaiongeza idadi yaowala hawatapungua,nitawapa heshimana hawatadharauliwa. 20 Watoto wao watakuwa kama walivyokuwasiku za zamani,nayo jumuiya yao itaimarishwa mbele yangu;nitawaadhibu wale wote wawaoneao. 21 Mmoja wao atakuwa kiongozi wao;mtawala wao atainuka miongoni mwao.Nitamleta karibu nami,naye atanikaribia mimi,kwa maana ni nani yule atakayejitoleakuwa karibu nami?’asema BWANA. 22 ‘Kwa hiyo ninyi mtakuwa watu wangu,nami nitakuwa Mungu wenu.’ ” 23 Tazama, tufani ya BWANAitalipuka kwa ghadhabu,upepo wa kisulisuli uendao kasiutashuka juu ya vichwa vya waovu. 24 Hasira kali ya BWANA haitarudi nyumampaka atakapotimiza makusudi yote ya moyo wake.Siku zijazomtayaelewa haya.

In Other Versions

Jeremiah 30 in the ANGEFD

Jeremiah 30 in the ANTPNG2D

Jeremiah 30 in the AS21

Jeremiah 30 in the BAGH

Jeremiah 30 in the BBPNG

Jeremiah 30 in the BBT1E

Jeremiah 30 in the BDS

Jeremiah 30 in the BEV

Jeremiah 30 in the BHAD

Jeremiah 30 in the BIB

Jeremiah 30 in the BLPT

Jeremiah 30 in the BNT

Jeremiah 30 in the BNTABOOT

Jeremiah 30 in the BNTLV

Jeremiah 30 in the BOATCB

Jeremiah 30 in the BOATCB2

Jeremiah 30 in the BOBCV

Jeremiah 30 in the BOCNT

Jeremiah 30 in the BOECS

Jeremiah 30 in the BOGWICC

Jeremiah 30 in the BOHCB

Jeremiah 30 in the BOHCV

Jeremiah 30 in the BOHLNT

Jeremiah 30 in the BOHNTLTAL

Jeremiah 30 in the BOICB

Jeremiah 30 in the BOILNTAP

Jeremiah 30 in the BOITCV

Jeremiah 30 in the BOKCV2

Jeremiah 30 in the BOKHWOG

Jeremiah 30 in the BOKSSV

Jeremiah 30 in the BOLCB

Jeremiah 30 in the BOLCB2

Jeremiah 30 in the BOMCV

Jeremiah 30 in the BONAV

Jeremiah 30 in the BONCB

Jeremiah 30 in the BONLT

Jeremiah 30 in the BONUT2

Jeremiah 30 in the BOPLNT

Jeremiah 30 in the BOSCB

Jeremiah 30 in the BOSNC

Jeremiah 30 in the BOTLNT

Jeremiah 30 in the BOVCB

Jeremiah 30 in the BOYCB

Jeremiah 30 in the BPBB

Jeremiah 30 in the BPH

Jeremiah 30 in the BSB

Jeremiah 30 in the CCB

Jeremiah 30 in the CUV

Jeremiah 30 in the CUVS

Jeremiah 30 in the DBT

Jeremiah 30 in the DGDNT

Jeremiah 30 in the DHNT

Jeremiah 30 in the DNT

Jeremiah 30 in the ELBE

Jeremiah 30 in the EMTV

Jeremiah 30 in the ESV

Jeremiah 30 in the FBV

Jeremiah 30 in the FEB

Jeremiah 30 in the GGMNT

Jeremiah 30 in the GNT

Jeremiah 30 in the HARY

Jeremiah 30 in the HNT

Jeremiah 30 in the IRVA

Jeremiah 30 in the IRVB

Jeremiah 30 in the IRVG

Jeremiah 30 in the IRVH

Jeremiah 30 in the IRVK

Jeremiah 30 in the IRVM

Jeremiah 30 in the IRVM2

Jeremiah 30 in the IRVO

Jeremiah 30 in the IRVP

Jeremiah 30 in the IRVT

Jeremiah 30 in the IRVT2

Jeremiah 30 in the IRVU

Jeremiah 30 in the ISVN

Jeremiah 30 in the JSNT

Jeremiah 30 in the KAPI

Jeremiah 30 in the KBT1ETNIK

Jeremiah 30 in the KBV

Jeremiah 30 in the KJV

Jeremiah 30 in the KNFD

Jeremiah 30 in the LBA

Jeremiah 30 in the LBLA

Jeremiah 30 in the LNT

Jeremiah 30 in the LSV

Jeremiah 30 in the MAAL

Jeremiah 30 in the MBV

Jeremiah 30 in the MBV2

Jeremiah 30 in the MHNT

Jeremiah 30 in the MKNFD

Jeremiah 30 in the MNG

Jeremiah 30 in the MNT

Jeremiah 30 in the MNT2

Jeremiah 30 in the MRS1T

Jeremiah 30 in the NAA

Jeremiah 30 in the NASB

Jeremiah 30 in the NBLA

Jeremiah 30 in the NBS

Jeremiah 30 in the NBVTP

Jeremiah 30 in the NET2

Jeremiah 30 in the NIV11

Jeremiah 30 in the NNT

Jeremiah 30 in the NNT2

Jeremiah 30 in the NNT3

Jeremiah 30 in the PDDPT

Jeremiah 30 in the PFNT

Jeremiah 30 in the RMNT

Jeremiah 30 in the SBIAS

Jeremiah 30 in the SBIBS

Jeremiah 30 in the SBIBS2

Jeremiah 30 in the SBICS

Jeremiah 30 in the SBIDS

Jeremiah 30 in the SBIGS

Jeremiah 30 in the SBIHS

Jeremiah 30 in the SBIIS

Jeremiah 30 in the SBIIS2

Jeremiah 30 in the SBIIS3

Jeremiah 30 in the SBIKS

Jeremiah 30 in the SBIKS2

Jeremiah 30 in the SBIMS

Jeremiah 30 in the SBIOS

Jeremiah 30 in the SBIPS

Jeremiah 30 in the SBISS

Jeremiah 30 in the SBITS

Jeremiah 30 in the SBITS2

Jeremiah 30 in the SBITS3

Jeremiah 30 in the SBITS4

Jeremiah 30 in the SBIUS

Jeremiah 30 in the SBIVS

Jeremiah 30 in the SBT

Jeremiah 30 in the SBT1E

Jeremiah 30 in the SCHL

Jeremiah 30 in the SNT

Jeremiah 30 in the SUSU

Jeremiah 30 in the SUSU2

Jeremiah 30 in the SYNO

Jeremiah 30 in the TBIAOTANT

Jeremiah 30 in the TBT1E

Jeremiah 30 in the TBT1E2

Jeremiah 30 in the TFTIP

Jeremiah 30 in the TFTU

Jeremiah 30 in the TGNTATF3T

Jeremiah 30 in the THAI

Jeremiah 30 in the TNFD

Jeremiah 30 in the TNT

Jeremiah 30 in the TNTIK

Jeremiah 30 in the TNTIL

Jeremiah 30 in the TNTIN

Jeremiah 30 in the TNTIP

Jeremiah 30 in the TNTIZ

Jeremiah 30 in the TOMA

Jeremiah 30 in the TTENT

Jeremiah 30 in the UBG

Jeremiah 30 in the UGV

Jeremiah 30 in the UGV2

Jeremiah 30 in the UGV3

Jeremiah 30 in the VBL

Jeremiah 30 in the VDCC

Jeremiah 30 in the YALU

Jeremiah 30 in the YAPE

Jeremiah 30 in the YBVTP

Jeremiah 30 in the ZBP