Psalms 107 (BOKCV)

1 Mshukuruni BWANA, kwa kuwa yeye ni mwema,upendo wake wadumu milele. 2 Waliokombolewa wa BWANA na waseme hivi,wale aliowaokoa kutoka mkono wa adui, 3 wale aliowakusanya kutoka nchi mbalimbali,kutoka mashariki na magharibi,kutoka kaskazini na kusini. 4 Baadhi yao walitangatanga jangwani,hawakuona njia ya kuwafikisha mji ambao wangeweza kuishi. 5 Walikuwa na njaa na kiu,nafsi zao zikadhoofika. 6 Ndipo walipomlilia BWANA katika shida yao,naye akawaokoa kutoka taabu yao. 7 Akawaongoza kwa njia iliyo sawahadi mji ambao wangeweza kuishi. 8 Basi na wamshukuru BWANA kwa upendo wake usiokoma,na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu, 9 kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu,na kumshibisha mwenye njaa kwa vitu vyema. 10 Wengine walikaa gizani na katika huzuni kuu,wafungwa wakiteseka katika minyororo, 11 kwa sababu walikuwa wameasidhidi ya maneno ya Munguna kudharau shaurila Aliye Juu Sana. 12 Aliwatumikisha kwa kazi ngumu;walijikwaa na hapakuwepo yeyote wa kuwasaidia. 13 Ndipo walipomlilia BWANA katika shida yao,naye akawaokoa kutoka taabu yao. 14 Akawatoa katika giza na huzuni kuuna akavunja minyororo yao. 15 Basi na wamshukuru BWANA kwa upendo wake usiokoma,na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu, 16 kwa kuwa yeye huvunja malango ya shabana kukata mapingo ya chuma. 17 Wengine wakawa wapumbavu kutokana na uasi wao,wakapata mateso kwa sababu ya uovu wao. 18 Wakachukia kabisa vyakula vyote,wakakaribia malango ya mauti. 19 Ndipo walipomlilia BWANA katika shida yao,naye akawaokoa kutoka taabu yao. 20 Akalituma neno lake na kuwaponya,akawaokoa kutoka maangamizo yao. 21 Basi na wamshukuru BWANA kwa upendo wake usiokoma,na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu. 22 Na watoe dhabihu za kushukuru,na wasimulie matendo yake kwa nyimbo za furaha. 23 Wengine walisafiri baharini kwa meli,walikuwa wafanyabiashara kwenye maji makuu. 24 Waliziona kazi za BWANA,matendo yake ya ajabu kilindini. 25 Kwa maana alisema na kuamsha tufaniiliyoinua mawimbi juu. 26 Yakainuka juu mbinguni, yakashuka chini hadi vilindini,katika hatari hii ujasiri wao uliyeyuka. 27 Walipepesuka na kuyumbayumba kama walevi,ujanja wao ukafikia ukomo. 28 Ndipo walipomlilia BWANA katika shida yao,naye akawatoa kwenye taabu yao. 29 Akatuliza dhoruba kwa mnongʼono,mawimbi ya bahari yakatulia. 30 Walifurahi ilipokuwa shwari,naye akawaongoza hadi bandari waliyoitamani. 31 Basi na wamshukuru BWANA kwa upendo wake usiokoma,na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu. 32 Na wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu,na wamsifu katika baraza la wazee. 33 Yeye aligeuza mito kuwa jangwa,chemchemi za maji zitiririkazo kuwa ardhi yenye kiu, 34 nchi izaayo ikawa ya chumvi isiyofaa,kwa sababu ya uovu wa wale walioishi humo. 35 Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji,nayo ardhi kame kuwa chemchemi za maji zitiririkazo; 36 aliwaleta wenye njaa wakaishi humo,nao wakajenga mji wangeweza kuishi. 37 Walilima mashamba na kupanda mizabibu,nayo ikazaa matunda mengi, 38 Mungu aliwabariki, hesabu yao ikaongezeka sana,wala hakuruhusu mifugo yao kupungua. 39 Kisha hesabu yao ilipungua, na walinyenyekeshwakwa kuonewa, maafa na huzuni. 40 Yeye ambaye huwamwagia dharau wakuu,aliwafanya watangetange nyikani isiyo na njia. 41 Lakini yeye aliwainua wahitaji katika taabu zao,na kuongeza jamaa zao kama makundi ya kondoo. 42 Wanyofu wataona na kufurahi,lakini waovu wote watafunga vinywa vyao. 43 Yeyote aliye na hekima, ayasikie mambo haya,na atafakari upendo mkuu wa BWANA.

In Other Versions

Psalms 107 in the ANGEFD

Psalms 107 in the ANTPNG2D

Psalms 107 in the AS21

Psalms 107 in the BAGH

Psalms 107 in the BBPNG

Psalms 107 in the BBT1E

Psalms 107 in the BDS

Psalms 107 in the BEV

Psalms 107 in the BHAD

Psalms 107 in the BIB

Psalms 107 in the BLPT

Psalms 107 in the BNT

Psalms 107 in the BNTABOOT

Psalms 107 in the BNTLV

Psalms 107 in the BOATCB

Psalms 107 in the BOATCB2

Psalms 107 in the BOBCV

Psalms 107 in the BOCNT

Psalms 107 in the BOECS

Psalms 107 in the BOGWICC

Psalms 107 in the BOHCB

Psalms 107 in the BOHCV

Psalms 107 in the BOHLNT

Psalms 107 in the BOHNTLTAL

Psalms 107 in the BOICB

Psalms 107 in the BOILNTAP

Psalms 107 in the BOITCV

Psalms 107 in the BOKCV2

Psalms 107 in the BOKHWOG

Psalms 107 in the BOKSSV

Psalms 107 in the BOLCB

Psalms 107 in the BOLCB2

Psalms 107 in the BOMCV

Psalms 107 in the BONAV

Psalms 107 in the BONCB

Psalms 107 in the BONLT

Psalms 107 in the BONUT2

Psalms 107 in the BOPLNT

Psalms 107 in the BOSCB

Psalms 107 in the BOSNC

Psalms 107 in the BOTLNT

Psalms 107 in the BOVCB

Psalms 107 in the BOYCB

Psalms 107 in the BPBB

Psalms 107 in the BPH

Psalms 107 in the BSB

Psalms 107 in the CCB

Psalms 107 in the CUV

Psalms 107 in the CUVS

Psalms 107 in the DBT

Psalms 107 in the DGDNT

Psalms 107 in the DHNT

Psalms 107 in the DNT

Psalms 107 in the ELBE

Psalms 107 in the EMTV

Psalms 107 in the ESV

Psalms 107 in the FBV

Psalms 107 in the FEB

Psalms 107 in the GGMNT

Psalms 107 in the GNT

Psalms 107 in the HARY

Psalms 107 in the HNT

Psalms 107 in the IRVA

Psalms 107 in the IRVB

Psalms 107 in the IRVG

Psalms 107 in the IRVH

Psalms 107 in the IRVK

Psalms 107 in the IRVM

Psalms 107 in the IRVM2

Psalms 107 in the IRVO

Psalms 107 in the IRVP

Psalms 107 in the IRVT

Psalms 107 in the IRVT2

Psalms 107 in the IRVU

Psalms 107 in the ISVN

Psalms 107 in the JSNT

Psalms 107 in the KAPI

Psalms 107 in the KBT1ETNIK

Psalms 107 in the KBV

Psalms 107 in the KJV

Psalms 107 in the KNFD

Psalms 107 in the LBA

Psalms 107 in the LBLA

Psalms 107 in the LNT

Psalms 107 in the LSV

Psalms 107 in the MAAL

Psalms 107 in the MBV

Psalms 107 in the MBV2

Psalms 107 in the MHNT

Psalms 107 in the MKNFD

Psalms 107 in the MNG

Psalms 107 in the MNT

Psalms 107 in the MNT2

Psalms 107 in the MRS1T

Psalms 107 in the NAA

Psalms 107 in the NASB

Psalms 107 in the NBLA

Psalms 107 in the NBS

Psalms 107 in the NBVTP

Psalms 107 in the NET2

Psalms 107 in the NIV11

Psalms 107 in the NNT

Psalms 107 in the NNT2

Psalms 107 in the NNT3

Psalms 107 in the PDDPT

Psalms 107 in the PFNT

Psalms 107 in the RMNT

Psalms 107 in the SBIAS

Psalms 107 in the SBIBS

Psalms 107 in the SBIBS2

Psalms 107 in the SBICS

Psalms 107 in the SBIDS

Psalms 107 in the SBIGS

Psalms 107 in the SBIHS

Psalms 107 in the SBIIS

Psalms 107 in the SBIIS2

Psalms 107 in the SBIIS3

Psalms 107 in the SBIKS

Psalms 107 in the SBIKS2

Psalms 107 in the SBIMS

Psalms 107 in the SBIOS

Psalms 107 in the SBIPS

Psalms 107 in the SBISS

Psalms 107 in the SBITS

Psalms 107 in the SBITS2

Psalms 107 in the SBITS3

Psalms 107 in the SBITS4

Psalms 107 in the SBIUS

Psalms 107 in the SBIVS

Psalms 107 in the SBT

Psalms 107 in the SBT1E

Psalms 107 in the SCHL

Psalms 107 in the SNT

Psalms 107 in the SUSU

Psalms 107 in the SUSU2

Psalms 107 in the SYNO

Psalms 107 in the TBIAOTANT

Psalms 107 in the TBT1E

Psalms 107 in the TBT1E2

Psalms 107 in the TFTIP

Psalms 107 in the TFTU

Psalms 107 in the TGNTATF3T

Psalms 107 in the THAI

Psalms 107 in the TNFD

Psalms 107 in the TNT

Psalms 107 in the TNTIK

Psalms 107 in the TNTIL

Psalms 107 in the TNTIN

Psalms 107 in the TNTIP

Psalms 107 in the TNTIZ

Psalms 107 in the TOMA

Psalms 107 in the TTENT

Psalms 107 in the UBG

Psalms 107 in the UGV

Psalms 107 in the UGV2

Psalms 107 in the UGV3

Psalms 107 in the VBL

Psalms 107 in the VDCC

Psalms 107 in the YALU

Psalms 107 in the YAPE

Psalms 107 in the YBVTP

Psalms 107 in the ZBP